Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

MWISHO,

Kuna siku nilikaa nikafikiria hii imesababishwa na nini nikapata jibu kwamba usikute kipindi kile mama yangu alipokuwa anapigwa mbele yangu na mimi nisiweze kumsaidia basi ile kitu iliniathiri sana kiakili maana Mama yangu alikuwa akiteswa mbele yangu na cha kufanya sikuwa nacho,

Ile kitu ndo ilifanya mpaka hisia ndani mwangu zimekufa kabisa maana naona kama nilishindwa kumsaidia mama yangu kipindi anateseka wewe ni nani mpaka nikusaidie, kiukweli akili yangu imeharibika mno mambo ni mengi sana ningeandika kuhusu Maisha ya Wazazi wangu ila nitawachosha tu,

Nahitimisha kwa kusema siwezi kuingia kwenye Ndoa na mwanamke yoyote maana nahisi nitamtesa tu kwa hizi tabia zangu na pia sijawahi hata kutamani kuwa na familia kitu pekee nachopenda ni kuwa na mtoto tu na hivi karibuni natarajia kumpata.

Nisameheni kwa uandishi kama ni mbaya maana mimi sio Mtunzi wa Vitabu. Leta na wewe kisa chako cha kwanini unakataa Ndoa ?

MWISHO.
Wazazi wako wapo?? Mahusiano yenu yakoje sahivi? Wewe na baba, wewe na mama.....
 
Wazazi wako wapo?? Mahusiano yenu yakoje sahivi? Wewe na baba, wewe na mama.....
Mama yupo kwake amejenga, Baba anaishi mkoa mwingine(siwezi kuutaja maana nitatoa code kama mwanafamilia akipita humu atajua)

Ila mimi na mama tupo vizuri sana ila kwa upande wa Baba kuna kipindi wakat mdogo niliendaga kwake kumsalimia ila tuliishia kuwa tunalala wenyewe na yeye akilala nje kwahyo hatukuweza kuishi nae hata kujenga bond nzuri kati yetu so tukaamua kuondoka tu,

Tulikuwa tukiomuomba hela hata ya kununulia mabegi na nguo alikuwa anatutukana akisema ana zaidi ya milioni 80 benki ila hela zake atakula na malaya ila sio sisi maan alishasema hatutunzi,

Kwahiyo tangu hapo sijawahi kuwa na uhusiano mzuri na baba, japokuwa huwa najaribu kujiweka karibu nae ila imefika mahali nimeshindwa kabsa kuwa mnafiki huyu mtu simpendi na namchukia sana hata kwenye simu nimemblock.
 
Kakaa kuwa mfungwa
FB_IMG_17184581203236805.jpg
 
Mama yupo kwake amejenga, Baba anaishi mkoa mwingine(siwezi kuutaja maana nitatoa code kama mwanafamilia akipita humu atajua)

Ila mimi na mama tupo vizuri sana ila kwa upande wa Baba kuna kipindi wakat mdogo niliendaga kwake kumsalimia ila tuliishia kuwa tunalala wenyewe na yeye akilala nje kwahyo hatukuweza kuishi nae hata kujenga bond nzuri kati yetu so tukaamua kuondoka tu,

Tulikuwa tukiomuomba hela hata ya kununulia mabegi na nguo alikuwa anatutukana akisema ana zaidi ya milioni 80 benki ila hela zake atakula na malaya ila sio sisi maan alishasema hatutunzi,

Kwahiyo tangu hapo sijawahi kuwa na uhusiano mzuri na baba, japokuwa huwa najaribu kujiweka karibu nae ila imefika mahali nimeshindwa kabsa kuwa mnafiki huyu mtu simpendi na namchukia sana hata kwenye simu nimemblock.
Mmh huyo dingi hatari, roho chuma.....

Pole kwa changamoto ulizopitiaga.
 
Makosa ya baba yako yasikufanye wewe ukakataa ndoa Baba yako alikua na maisha yake na wewe una maisha yako

Jifunze kutokana na makosa yake kubali kua mume na baba bora kwenye familia yako..!🤸
Najitahidi sana ila hata haya mahusiano ya nyuma tu ambayo nimewahi kuwa nayo naona nashindwa kabsa kuendana nayo sasa nikiingia kwenye ndoa si ndo zaidi kabisa nitamtesa tu huyo mwenza,

Kuna tabia naziona kabsa hazitovumilika na mwenzangu.
 
Najitahidi sana ila hata haya mahusiano ya nyuma tu ambayo nimewahi kuwa nayo naona nashindwa kabsa kuendana nayo sasa nikiingia kwenye ndoa si ndo zaidi kabisa nitamtesa tu huyo mwenza,

Kuna tabia naziona kabsa hazitovumilika na mwenzangu.
Kwakweli ishi tu mwenyewe mzee baba, punyeto ni mkombozi mara moja moja unaomba mbususu za dharura....
 
Basi baada ya Baba kuondoka nilimwambia mama leo ndo siku ya mwisho kukushuhudia unalia sitokubali tena, nikachukua simu nikampigia Babu yangu nikamwambia Baba kampiga sana mama naomba mje tumchukue tumpeleke hospitali, basi bibi na uncle na Babu wakafika ila walivyokuja tu na Baba akawa ameludi akaanza kuzuia mama asipelekwe popote Ukazuka ugomvi mkubwa pale ghafla tena Baba ndo akaharibu kabsa akamtukana bibi yetu (Kum*** la ma**k),

Aisee hapa ndo nikajua sasa kweli huyu mzee ni hakuna kitu kabisa kichwani yani badala ya kuketi chini aombe hata msamaha yeye anatukana wakwe tena?,... basi akataka hadi kumpiga bibi ila wakina uncle wakamzuia na wakamchukua mama tukaondoka tukapitia Polisi wakachukua PF3 (kama nimekosea mnirekebishe, nasikiaga watu wakiita hivyo),

Kuanzia hapo tukahamia nyumbani kwa Babu, na Baba akaanza kuja kuomba misamaha pale lakini safari hii walimkatalia kabisa maana sio mara ya kwanza kwenda kwa babu na bibi kuomba misamaha kwa makosa yale yale ya kumpiga mama na Kuwatukana,

INAENDELEA
Kumbe bado umri wako ni mdogo namna hii....... Ugomvi wa Baba na Mama watoto hawauingilii ni laana.
 
Kina baba tunapitia mambo mengi sana, na hua hatuyaweki wazi kwa mtu yoyote.

Nafikiri ungechunguza kwanza sababu ya baba ako kua Ivo kabla hujawa mkataa ndoa sugu, yawezekana alifanya hivyo baada ya kugundua we siyo mtoto wake wa damu alisingiziwa.

Maana kuna muda mtu anakufanyia usaliti unashindwa kumuacha kwa sababu fulani, ila unachagua kuishi nae kwa kumpiga matukio mpaka atoshe mwenyewe.
 
MWISHO,

Kuna siku nilikaa nikafikiria hii imesababishwa na nini nikapata jibu kwamba usikute kipindi kile mama yangu alipokuwa anapigwa mbele yangu na mimi nisiweze kumsaidia basi ile kitu iliniathiri sana kiakili maana Mama yangu alikuwa akiteswa mbele yangu na cha kufanya sikuwa nacho,

Ile kitu ndo ilifanya mpaka hisia ndani mwangu zimekufa kabisa maana naona kama nilishindwa kumsaidia mama yangu kipindi anateseka wewe ni nani mpaka nikusaidie, kiukweli akili yangu imeharibika mno mambo ni mengi sana ningeandika kuhusu Maisha ya Wazazi wangu ila nitawachosha tu,

Nahitimisha kwa kusema siwezi kuingia kwenye Ndoa na mwanamke yoyote maana nahisi nitamtesa tu kwa hizi tabia zangu na pia sijawahi hata kutamani kuwa na familia kitu pekee nachopenda ni kuwa na mtoto tu na hivi karibuni natarajia kumpata.

Nisameheni kwa uandishi kama ni mbaya maana mimi sio Mtunzi wa Vitabu. Leta na wewe kisa chako cha kwanini unakataa Ndoa ?

MWISHO.
Ipo siku ukiujua ukweli ambao baba yako alikuwa nao moyoni na kichwani utakuwa na wewe ushakuwa na mtoto anayrkuwazia wewe namna unavyomiwazia baba yako
 

Attachments

  • Screenshot_20240621-181410.jpg
    Screenshot_20240621-181410.jpg
    408.9 KB · Views: 3
Kina baba tunapitia mambo mengi sana, na hua hatuyaweki wazi kwa mtu yoyote.

Nafikiri ungechunguza kwanza sababu ya baba ako kua Ivo kabla hujawa mkataa ndoa sugu, yawezekana alifanya hivyo baada ya kugundua we siyo mtoto wake wa damu alisingiziwa.

Maana kuna muda mtu anakufanyia usaliti unashindwa kumuacha kwa sababu fulani, ila unachagua kuishi nae kwa kumpiga matukio mpaka atoshe mwenyewe.
It takes a man to understand and do a man's thing..... A boy will never understand a man.
 
Story yenyewe ya upande mjaa hii leta na upande wa pili,
sikia mkuu ukiona mtu kafeli ujue alianza kufeli kabla ujamuona kafeli.

sikuu kaa muulize mshua kwa Nini alikua mdwanzi enzi hizo.
 
Story yenyewe ya upande mjaa hii leta na upande wa pili,
sikia mkuu ukiona mtu kafeli ujue alianza kufeli kabla ujamuona kafeli.

sikuu kaa muulize mshua kwa Nini alikua mdwanzi enzi hizo.
Huo muda yule mzee hana mkianza tu kuongea ataanza kkutukana na kukusimanga, anagombana na kila mtu hadi Dada yake wa damu wamegombana sasa unafikiri huyo mtu atasaidiwa na nani ?
 
Back
Top Bottom