Jibu kwanza hoja ya msingi, kwa nini katika katekisimo yenu mliondoa amri ya pili inayokataza kuabudu sanamu? Na kwa nini amri ya kumi inayokataza kutamani mali au mke wa jirani yako mmezifanya ni amri mbili wakati hiyo ni amri moja tu?Nataka jibu ile back ground pic ile sura ni ya nani...??
Jibu kwanza hoja ya msingi, kwa nini katika katekisimo yenu mliondoa amri ya pili inayokataza kuabudu sanamu? Na kwa nini amri ya kumi inayokataza kutamani mali au mke wa jirani yako mmezifanya ni amri mbili wakati hiyo ni amri moja tu?
Toa sababu yakufutwa vitabu, ni kweli biblia ya kilutheri inaupungufu wa vitabu, pia imebadilishwa maneno mengi, tupe sababu.
Halafu hoja ya msingi ni Kwanini Martin Luther alipunguza vitabu vya Agano la Kale...?Jibu kwanza hoja ya msingi,
If you understand the teaching and the life of Jesus, you wouldn't brag the power of the Roman Catholic church. Power corrupts people and organizations and the RC isn't immuned to it.Leave this topic guyz,Roman Catholic is the strongest church never happen,if you against Roman Catholic u real against Jesus Crust and his God Father,having a gud time SDA and let's Roman Catholic having their time.
Hebu turudi kwenye mada husika..If you understand the teaching and the life of Jesus, you wouldn't brag the power of the Roman Catholic church. Power corrupts people and organizations and the RC isn't immuned to it.
Kuhusiana na agano la kale, Luther hakuwa wa kwanza. Compilation ya wayahudi iliviondoa hivyo vitabu. Probably he wanted the old testament to match the hebrew compilationHebu turudi kwenye mada husika..
Kwanini Martin Luther alipunguza vitabu 7 vya Agano la Kale...?
Kwanini alifanya attempt ya kuondoa vitabu vya Yakobo, Ufunuo na Waebrania...?
Tupe sababu ili tujikite kwenye mada..
Hayo mamlaka aliyatoa wapi angali Biblia ilishskamilika.. .?Kuhusiana na agano la kale, Luther hakuwa wa kwanza. Compilation ya wayahudi iliviondoa hivyo vitabu. Probably he wanted the old testament to match the hebrew compilation
Unaakili timamu kweli wewe...??? Doctrine gani alimfanya aondoe hivyo vitabu kama si kutaka ku-suit mafundisho yake na upotofu wake...?Kuhusiana na vitabu vya agano vipya, alitumia doctrinal and apostolic reasons. Since doctrinal and apostolic reasoning isn't scientific or divine in nature, we can't say he was wrong or right.
Hapo umemshika pazuri...!Doctrine gani na Apostolic reasons zipi....?nasubiri,hawa watu wako shallow sana kwenye masuala ya maandiko na hawajui historia ya biblia.Unaakili timamu kweli wewe...??? Doctrine gani alimfanya aondoe hivyo vitabu kama si kutaka ku-suit mafundisho yake na upotofu wake...?
Haya niambie ni Apostolic reason gani ilimfanya aviondoe vitabu hivyoo...???
Kama angafanikiwa leo ungekuja kutetea waprotestant kuwa na vitabu 24 vya Agano jipya...???
Acha kutetea ujinga wa Luther, hii laana ndio ilifanya mpaka leo hii Protestant si kitu kimja ila mnazidi kuparanganyika ...
Alichotaka kufanya Luther ni sawa na walokole waindoe Nyaraka ya Wakorinto inayokataza Wanawake kuhutubu madhabahuni simply ku-suit mafundisho yao..
Hicho na alichokifanya Luther...
Tutolee ujinga wa Apostolic na Doctrinal hapa
Jibuni kwanza kwanini mliondoa amri ya pili inayokataza kuchonga na kuabudu sanamu? Na kwa nini mligawanya amri ya kumi inayokataza kutamani mali au mke wa mtu, mmefanya amri mbili wakati hii ni amri moja inayokataza kutamani kitu chochote cha jirani yako? Mkishajibu haya ndipo muendeleze mashambulizi yenu kwa Martin LutherHebu turudi kwenye mada husika..
Kwanini Martin Luther alipunguza vitabu 7 vya Agano la Kale...?
Kwanini alifanya attempt ya kuondoa vitabu vya Yakobo, Ufunuo na Waebrania...?
Tupe sababu ili tujikite kwenye mada..
Kwanini Mapadre wanatakiwa kuwa Waseja maisha yao yote au ndio kumuenzi Yesu Kristo?Mkuu kwa hili huna data.... Martine hakuwa Askofu, alikuwa Padre na miongoni mwa sababu zilizomuondoa kwenye kanisa Katoliki ni hili la Uaskofu, alipinga hairakia ya Kanisa na vyeo kama Uaskofu, Upapa na mengineyo. Sema tu mengi aliyoyapinga aliishia kuayatenda akiwa kwenye kanisa lake. Mengine ni suala la Useja, hakutaka kabisa kulisikia na alipoondoka aliondoka na Mtawa wa kike aliyeishia kuwa mkewe.
Mambo ni mengi sana na yanahitaji muda wa kutosha. Lakini niseme tu kwamba "siyo kila alilolipinga lilikuwa baya" mengine aliyapinga kihalali kabisa japo njia aliyoitumia haikuhalalisha kitendo chake!!!
Pili, Biblia za wapeotestanti na wapentekoste zina vitabu 66 wakati biblia ya Wakatoliki ina vitabu 72. Hili lilitokana na kuwa baadhi ya yaliyomo kwenye vitabu hivyo (deuterokanoni) vinapingana na mafundisho yao. Sababu nyingi ni za kibinadamu tu!!! Hili lilikuwa rahisi sana kwake kwani suala zima la "Utaifa" liliingizwq kwenye huu mchakato wa Luther kujiondoa kanisa, matokeo yake kwa vile alikuwa Mjerumani, dhehebu lake likawa "dini dora" ya Ujerumani, katika hali kama hii, ni rahisi kwa uwezo wa kifedha kuchapisha Biblia zenye vitabi 66 na kuviondoa vile vingine!!!!
Ni utaratibu wa Kanisa kwa makaasisi wake na useja haulizimishwi Bali wito tuu.Kwanini Mapadre wanatakiwa kuwa Waseja maisha yao yote au ndio kumuenzi Yesu Kristo?
Ndg hamna amri iliyoondolewa zaidi ya kuboreshwa umeambiwa 2+2=4 au 1+3=4 kwa mtu mwenye upeo mdogo huwezi kuelewa, kwani hiyo iliyotolewa ilikuwa inasaje na hiyo iliyowekwa inasemaje.....?hebu ziweke hadharani kwa faida forum ili zichambuliwe.Jibuni kwanza kwanini mliondoa amri ya pili inayokataza kuchonga na kuabudu sanamu? Na kwa nini mligawanya amri ya kumi inayokataza kutamani mali au mke wa mtu, mmefanya amri mbili wakati hii ni amri moja inayokataza kutamani kitu chochote cha jirani yako? Mkishajibu haya ndipo muendeleze mashambulizi yenu kwa Martin Luther
Hivi wewe ndo ulikuwa mpiga picha siku hiyo?mmefanya photoshop hadi watu walioko kwenye picha hawaonekani.Hata hivyo picha za kufundishia zipo tangu zamani.waandishi walichora picha za manabii na mitume kwenye mapango, mawe n.k ili kuhifadhi kumbukumbu zao lakini kamwe hazikuwahi kisujudiwa. Kwa taarifa yako picha zinatumika kwenye vitabu vya makanisa mbalimbali ili kufundishia tofauti na hivyo vinyago mnavyoviabuduNiambie hiyo picha (back Ground pic ) Wakati Rais wa Kanisa la SDA amekuja Tz hapo ni uwanja wa Taifa ni picha ya nani....?
View attachment 458771
Niambie hiyo picha inafanya nini hapo...
Kitaja nataka jibu....
Acha kwenda kama mbuzi aliyekatwa kichwa...!umesema Wakatoliki wamepunguza na kungeza amri za Mungu ukaombwa kuposti zilizo punguzwa na zilizoongezwa kwa faida ya forum,sasa hv umerukia mambo mengine tukuelewaje.....?au ninyi ndio wale mnaokaririshwa na kuaminishwa mambo pasipo kuyafanyia uchunguzi alafu mnakuja humu forum.Hivi wewe ndo ulikuwa mpiga picha siku hiyo?mmefanya photoshop hadi watu walioko kwenye picha hawaonekani.Hata hivyo picha za kufundishia zipo tangu zamani.waandishi walichora picha za manabii na mitume kwenye mapango, mawe n.k ili kuhifadhi kumbukumbu zao lakini kamwe hazikuwahi kisujudiwa. Kwa taarifa yako picha zinatumika kwenye vitabu vya makanisa mbalimbali ili kufundishia tofauti na hivyo vinyago mnavyoviabudu
Hivi Biblia ilipaswa kuwa na vitabu .vingapi? Mnakaririshwa sana ndio Shida.Jamani hivi ninyi wakathorici hayo maandiko ya maria kuwa muombezi wenu munayatowa wapi tupeni na sisi tuyasome siyo mtuletee ha bali za kijiolojia..bibilia haisemi tujifunze kwa kupitia jioloji wala sayansi maana bibilia nikitabu kinacho jitosheleza hakihitaji msaada wa vitabu vingine
Otorong'ong'o,Sasa tujikite kwenye mada...
Unafukiri ni kwanini huyu Luther alivuondoa vitabu hivyo..?? Na nini kilimpelekea yeye kufanya attempt ya kuondoa vitabu vya Ufunuo, Yakobo na Waebrania..?
Illiterate type.....!pole sana endelea na mafundisho yako ya kina;Jamani hivi ninyi wakathorici hayo maandiko ya maria kuwa muombezi wenu munayatowa wapi tupeni na sisi tuyasome siyo mtuletee ha bali za kijiolojia..bibilia haisemi tujifunze kwa kupitia jioloji wala sayansi maana bibilia nikitabu kinacho jitosheleza hakihitaji msaada wa vitabu vingine