Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Inapotosha kitu gani angali nukuu za hiyo Biblia yenu mpya zimewekwa wazi...??Hiyo link nimeisoma ila imejaa upotoshaji mtupu hasa pale wanapolazimisha kuwa kanisa la SDA linapinga Uungu wa Roho Mtakatifu, na pia Mungu Mwana. huu ni uongo na upotoshaji wa wazi.Katika misingi ya imani ya SDA,
Umeshapitia hiyo link lkn......?kama vp washirikishe baba zako wa kiroho na ikiwezekana washirikishe hii thread maana wapo waliokuja kama ww lkn hatuwaoni leo.Kweli mmeishiwa hoja, habari haina ushahidi wa Biblia nyie mnaimeza kama ilivyo.Si ajabu Biblia katika 2 Timotheo 4 :3,4.Paulo anasema " utakuja wakati, watu watakataa mafundisho ya kweli na kuzigeukia hadithi za uongo." Huu ni mfano mojawapo wa hizo hadithi za uongo.
Kwa hio ndio muabudu sanamu! Amri za Mungu zinasemaje?Huyo aliyekabidhiwa ufunguo alikuja kuwa kiongozi wa Kanisa lipi........?ebu tuambie tunakusubiri.
Kwa akili yako na wenzio sidhani kama hiki kitabu cha Ufunuo wa Yohana mnaweza kukitafsiri.Endelea kujipa moyo ndugu lakini kumbuka Hili kanisa ndio mfano wa mwanamke wa Ufunuo 12:1 Mwanamke aliyevikwa jua na taji ya nyota 12.Ni Bibiarusi wa Kristo Ufunui 19:7 kwa kuwa hili kanisa linatii amri za Mungu na imani ya Yesu Ufunuo 14:12 .Tofauti na yule kahaba wa Ufunuo 17:5. Kanisa lisilotii amri za Mungu, ushahidi upo wazi katika Biblia.Kanisa hili limediriki kubadili amri Daniel 7:25. Yesu aliita chukizo la uharibifu Mathayo 24:15. Petro aliita Babeli 1 Petro 5:13.Yohana aliita Babeli Mkuu, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI. Kanisa hili limetabiriwa kufanya vita na watakatifu hata kuonekana "kuwashinda" kama wanavyodai sasa.Lakini, siku si nyingi Biblia inasema "Mikaeli atasimama upande wa watu wa Mungu". Daniel 12:1.Jiandae utasimama wapi?
Kabisa,na nafikiri atakuwa hajaielewa.Kaka unajua hawa jamaa wako bize kuuchunguza Ukatoliki, lakini wanashindwa kujua kwao kuna matundu makubwa, na ndio maana nikwambia kwa kitendo chake cha kukiri utatu mtakatifu yeye keshajitoa kwenye Usabato, Sabato hawaamini Utatu mtakatifu unaoaminiwa na Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume, ila jamaa hajui imani yake inasimiamia wapi
Hiyo habari ya Biblia ya Kisabato nadhani ndio kaiona leo
Sulution ndio mambo ya Ekumeni yanaendelea kuwa tusahau yaliyopita tugange ya jayo(Ufalme wa Mungu)Kwenye hili tusihukumu watu ila tujaribu kutafuta soln kwa sasa
Wala huhitaji nguvu kubwa kutafsiri ufunuo.,kitabu chenyewe kimetoa tafsiri.Imeelezwa wazi mnyama ni nani, kahaba ni nani na kwa nini anaitwa kahaba.Usitumie akili yako kutafsiri Biblia.Kwa akili yako na wenzio sidhani kama hiki kitabu cha Ufunuo wa Yohana mnaweza kukitafsiri.
Mkuu huyu Bwana Kitaja alikuwa anapinga sana mambo ya picha na Sanamu,huku akitumia maandiko matakatifu kitabu cha Kutoka sura ya 20.....Umeshapitia hiyo link lkn......?kama vp washirikishe baba zako wa kiroho na ikiwezekana washirikishe hii thread maana wapo waliokuja kama ww lkn hatuwaoni leo.
Masikini...Ndio maana nikakuuliza ni hiyo Clean Bible ndo inavyosema...?Wala huhitaji nguvu kubwa kutafsiri ufunuo.,kitabu chenyewe kimetoa tafsiri.Imeelezwa wazi mnyama ni nani, kahaba ni nani na kwa nini anaitwa kahaba.Usitumie akili yako kutafsiri Biblia.
Biblia ya kisabato lakini mtunzi na mwandishi Roman Catholic, maajabu ya dunia haya!
Mkuu, biblia yenu si ndo hiyo mmeongezea Manuscript za Ellen G White...? Mbona ushahidi upo..?Biblia ya kisabato lakini mtunzi na mandishi Roman Catholic, maajabu ya dunia haya!
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] huyu jamaa anafurahisha sana lkn nahisi huyu jamaa nitakuwa namfahamu maana juzi ktk pitapita zangu kuna bwana mmoja rafiki yangu sana na mshirika wa hicho kikundi(SDA) nilimshirikisha kwenye hii thread inawezekana ni yeye,nakushauri mshirikishe yule baba yako wa kiroho yule Mzee mwenye upara ambaye ndio Mzee wa kikundi,maana mmekuwa na cinema za usiku kila wkt karibu na nyumba yenu ya ibada zikiwa ni kutukana Wakotoliki tuu...muoneshe huyo link kisha mkaribishe huku.Inapotosha kitu gani angali nukuu za hiyo Biblia yenu mpya zimewekwa wazi...??
Unaipinga Biblia yenu mpya...?
Mkuu huyu Bwana Kitaja alikuwa anapinga sana mambo ya picha na Sanamu,huku akitumia maandiko matakatifu kitabu cha Kutoka sura ya 20.....
Bila hiyana nikamuonesha bango kubwa la picha Ya Yesu kwenye Mkutano wao Uwanja wa Taifa...Nikamuuliza hiyo ni picha ya nani...? Aka-panic na kusema hiyo ni photoshop..
Nikamwambia hiyo picha nimetoa kwenye Website yanu ya Kanisa....Nahisi nilivyomwambia hivyo ikabidi aende kuhakikisha...
Unajua alisemaje..
"Mungu hajakataza kufanya picha kwa ajili ya kufundishia...ile picha ipo kwaajili ya kufundishi"
Nikajisemea hawa watu wanamatatizp..walikuwa hawajui wanachokifanya...
Hujanijibu nilichokuuliza zaidi ya kuja na mipasho......Kwa hio ndio muabudu sanamu! Amri za Mungu zinasemaje?
Usijifanyie kitu chochote kilichoko juu ya nchi ukakiabudu
Kwa mujibu wa Wasabato amri ile inakataza kujifanyia picha....Sijui kama unaelewa hapo..?Hata mashuleni tumefundishwa kutumia picha, ina maana shuleni wanaabudu sanamu? Tofautisha vinyago mnavyoviabudu na picha hizo hutumika kila mahali, sheleni, kanisani. barabarani kumejaa picha za matangazo je nazo ni sanamu,? Waabudu wafu wana taabu sana.
Naomba nikuulize tena...aHata mashuleni tumefundishwa kutumia picha, ina maana shuleni wanaabudu sanamu? Tofautisha vinyago mnavyoviabudu na picha hizo hutumika kila mahali, sheleni, kanisani. barabarani kumejaa picha za matangazo je nazo ni sanamu,? Waabudu wafu wana taabu sana.
Hii Thread nimewashirikisha Wasabato wengi wanaonekana kukata tamaa....Ni kama kanisa lao linawa-confuse[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] huyu jamaa anafurahisha sana lkn nahisi huyu jamaa nitakuwa namfahamu maana juzi ktk pitapita zangu kuna bwana mmoja rafiki yangu sana na mshirika wa hicho kikundi(SDA) nilimshirikisha kwenye hii thread inawezekana ni yeye,nakushauri mshirikishe yule baba yako wa kiroho yule Mzee mwenye upara ambaye ndio Mzee wa kikundi,maana mmekuwa na cinema za usiku kila wkt karibu na nyumba yenu ya ibada zikiwa ni kutukana Wakotoliki tuu...muoneshe huyo link kisha mkaribishe huku.
Nakumbuka sana mkuu,tulijaribu sana kuwasihi wajikite kwenye mada lkn wakawa wakaidi wakajikita kuwalaumu Wakotoliki.Mkuu huyu Bwana Kitaja alikuwa anapinga sana mambo ya picha na Sanamu,huku akitumia maandiko matakatifu kitabu cha Kutoka sura ya 20.....
Bila hiyana nikamuonesha bango kubwa la picha Ya Yesu kwenye Mkutano wao Uwanja wa Taifa...Nikamuuliza hiyo ni picha ya nani...? Aka-panic na kusema hiyo ni photoshop..
Nikamwambia hiyo picha nimetoa kwenye Website yanu ya Kanisa....Nahisi nilivyomwambia hivyo ikabidi aende kuhakikisha...
Unajua alisemaje..
"Mungu hajakataza kufanya picha kwa ajili ya kufundishia...ile picha ipo kwaajili ya kufundishi"
Nikajisemea hawa watu wanamatatizp..walikuwa hawajui wanachokifanya...