Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Inapotosha kitu gani angali nukuu za hiyo Biblia yenu mpya zimewekwa wazi...??Hiyo link nimeisoma ila imejaa upotoshaji mtupu hasa pale wanapolazimisha kuwa kanisa la SDA linapinga Uungu wa Roho Mtakatifu, na pia Mungu Mwana. huu ni uongo na upotoshaji wa wazi.Katika misingi ya imani ya SDA,
Unaipinga Biblia yenu mpya...?