Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Biblia yenyewe unayozungumzia hapa ndio kitabu cha Kiada za ziada cha Wakatoliki..biblia ndio mwongozo nikikushauri ujifunze maandiko ya sheria ya neema kwa uongozi wa Roho maana roho atakuongoza kwenye kweli
Nimeona unadandia treni kama Wasabato wenzako walivyodandia wakaishia kuangukia pua...Kwa hiyo Umejimilikisha mjadala?
Vitaje hivyo vitabu na aliviondoa mwaka gani na je, baraza la Trent lilikaa karne ya 16 ilikuwa mwaka gani?Sasa vitabu 7 alivyoviondoa Martin Luther vinauhusiano gani na Apokrifa books...?? Vitabu vilivyoondolewa na Luther havijawahi kuwa Apokrifa books...labda Apokrifa kwa Waptotestant....
Catholic ni ya warumi na inauhusiano na upagani wa kirumi, walokuwa na maamuzi ya Biblia iweje ni wayahudi na si hao wapagani unaowatetea humuNa ndilo Catholic Church...na hatuiti Mabaraza tunaita Mitaguso...
Hebu onesha huo uhusiano upo wapi...??Catholic ni ya warumi na inauhusiano na upagani wa kirumi,
Tangu lini Wayahudi wakahusika na Vitabu vya Agano Jipya...? Tangu lini Wayahudi Wakahusika na vitabu na nyaraka zinazo taja jina la Yesu...? Au ni Wayahudi gani hao unaoongelea. ??walokuwa na maamuzi ya Biblia iweje ni wayahudi
Kwataarifa yako Biblia ni mali ya Kanisa Katoliki...na si hao wapagani unaowatetea humu
Vitabu 7 hivyo vyote viliandikwa na Wayahudi Walioishi Misri..na viliandikwa karne za mwishini kabla ya Ujuio wa Yesu ...Vitaje hivyo vitabu na aliviondoa mwaka gani na je, baraza la Trent lilikaa karne ya 16 ilikuwa mwaka gani?
Mungu anawajua wake na wake hawawezi kuwa farisayo wa kipagani kama wewe!endelea na mjadala wako basi.Nimeona unadandia treni kama Wasabato wenzako walivyodandia wakaishia kuangukia pua...
Mjada hapa ni huu....
Tupe sababu ya Padre Luther kupunguza vitabu 7 vya Agano la Kale.....Pia tupe sababu iliyotaka kumpelekea Luther kutaka kuondoa vitabu vya Ufunuo, Yakobo na Waebrani...
Hiyo ndiyo sababu..? Au ngoja nikurahisishie kazi..Mungu anawajua wake na wake hawawezi kuwa farisayo wa kipagani kama wewe!endelea na mjadala wako basi.
Hawana tofauti na WasabatoJehovah's don't like this verse
Toa uongo wako hapa, kama Biblia ni mali ya kanisa katoliki, kwa nini mambo yenu mengi hayako biblical? Mbona mna dogma nyingi sana hadi mnalazimisha dogma ziwe doctrines? Na kwa nini mnakiogopa kukifundisha kitabu cha ufunuo ktk makanisa yenu? Mbona mambo yenu mengi ni ya kipagani?Hebu onesha huo uhusiano upo wapi...??
Tangu lini Wayahudi wakahusika na Vitabu vya Agano Jipya...? Tangu lini Wayahudi Wakahusika na vitabu na nyaraka zinazo taja jina la Yesu...? Au ni Wayahudi gani hao unaoongelea. ??
Kwataarifa yako Biblia ni mali ya Kanisa Katoliki...
Ukitaka kujua ukweli wa mambo usiongee Kwa mihemkoToa uongo wako hapa, kama Biblia ni mali ya kanisa katoliki, kwa nini mambo yenu mengi hayako biblical? Mbona mna dogma nyingi sana hadi mnalazimisha dogma ziwe doctrines? Na kwa nini mnakiogopa kukifundisha kitabu cha ufunuo ktk makanisa yenu? Mbona mambo yenu mengi ni ya kipagani?
Mkuu leta mambo...hiz n nondo kwelNgoma hii tumeanzia mbali.....toka page ya kwanza...Sasa wewe dandia treni kwa mbele ushangazwe...
Na ndilo Catholic Church...na hatuiti Mabaraza tunaita Mitaguso...
Kula tank mkuuBiblia yenyewe unayozungumzia hapa ndio kitabu cha Kiada za ziada cha Wakatoliki..
Aisee..weng hatujui na tunaliombea taifa teule kwa sababu ya kukalilishwaVitabu 7 hivyo vyote viliandikwa na Wayahudi Walioishi Misri..na viliandikwa karne za mwishini kabla ya Ujuio wa Yesu ...
Kulikuwa na Mitaguso zaidi ya mmoja iliyokas mji wa Trent...Unataka mtaguso wa Trent wa mwaka gani...?
Hebu onesha huo uhusiano upo wapi...??
Tangu lini Wayahudi wakahusika na Vitabu vya Agano Jipya...? Tangu lini Wayahudi Wakahusika na vitabu na nyaraka zinazo taja jina la Yesu...? Au ni Wayahudi gani hao unaoongelea. ??
Kwataarifa yako Biblia ni mali ya Kanisa Katoliki...