Ngoja nikuache maana umeamua kujitoa ufahamuLimesema Kanisa Katoliki na Ndo lenye mamlka hayo na Ndo maana Biblia Ilitoka Huko... Kwani Yesu aliagiza Mjenge Makanisa? Ni wapi pameandikwa Mjenge kanisa.. yeye si Alikuwa anaabudu Yerusalem
Acha maneno lete maandikoUnaongelea Biblia hii ambayo vitabu vyake vilikusanywa na kuchaguliwa na Kanisa Katoliki?.
Yaani Swala amfunishe samaki kuogelea?.Haya ni maajabu ya karne.
Hakuna Kanisa linalofuata Mafundisho ya Mungu yaliyoanishwa katika Biblia kama kanisa Katoliki Takatifu la Mitume.Hakuna.
Biblia Si kila Kitu Kwahy Si Biblia Pekee yenye Majibu... Mengine utayapata Kanisani na Ni kanisa Katoliki pekee nyie Wengine Hamna Hilo.. maana Roho Wenu ni Mfu.. Ameshaacha Kuwafunulia mmebakia na Biblia tu ,mambo mapya hamna.. mkaamua mkatoa na Vitabu vingine....Embu niambie mstari ndani ya biblia ulioandikwa hivyo Hata meno katoliki tusiongeze neno wala kupunguza leta mstari.
We unajua..?? Kwanini unahisi sijui....Haya ngoja nikuekezeUnajua maana ya neno Catholic?...
Aliyekuambia sijui ni nani...??Kama ulikua hujui
Anglican hawaitwi Anglucan Catholic... Ila Watu hupenda kuwapachika au kujipachika Anglo-Catholic, na hii ni kutokana Liturujia ya Anglican haina tofauti na ya Catholic...mfanano huo ndio ukawafanya waanglikana wajione kama Wakatoliki....anglikana nao wanaitwa Anglican Catholic
Hakuna kina kinaitwa Orthodox Catholic...., Orthodox Catholic
Catholic siyo dhehebu ni Kanisa Kamili..., na ndiyo maana hakuna dhehebu linaloitwa Catholic
Hakuna kitu kinaitwa Roman Catholic ila kuna Catholic Churchila lipo Roman Catholic..
Nimeshakueleza hapo juu....nenda kasome maana ya Catholic
Kakudanganya nani.. ?? Anglican high Church/Episcopal Church hayanatofauti na Catholic Church hata mafundisho yao..Ndio maana sometimes huwa wanapenda jiita Anglo-catholic...Na biblia yao inavitabu 73/72kumbe hata maana ya wa protestant hujui....
Hata Anglican nae ni m protestant halaf Biblia na idadi ya vitabu wanaliyo nayo wa anglikana na hiyo hiyo ya wa Pentecoste na Assembles
Ni kwl mkuu nina mjomba wangu ni padri nilienda kumtembelea pale ofcn kwao kurasini nkakuta friji yake imejaa mivinyo plus bia za kutosha akawa anapga bia kama kawaida kwhyo kwa mujibu wa biblia yao pombe kwao ni halali kbsa sikushangaa hata maparoko huwa wananyonya sana mivinyo
Yesu ni Mungu sawa na Baba na Roho Mtakatifu...Mungu anatuombeaje sasa....??kukuombe ni yesu pekee naye hukuombea kwa baba.
Dhambi inawatafuna,KWANINI PADRE Luther ALIFUKUZWA KANISA KATOLIKI? NA KWANINI ALIONDOA BAADHI YA VITABU KWENYE BIBLIA AGANO LA KALE?
Padre Luther alikuwa miongoni mwa Mapdre wenye karama nyingi ndani ya Kanisa katoliki wakati wake, Yeye alikuwa na Madai mengi sana juu ya mapungufu kwa kanisa. Hata hivyo madai yake mengi hayakuwa na msingi wowote.
Moja ya madai yake ilikuwa ni kuondoa kibali cha kwamba baada ya kuungama muumini asipewe stakabadhi ya kuonesha ameungama kwa kuwa kitubio ni siri ya MTU. Hili lilifanyiwa kazi. Mengine ikiwemo kurekebisha mfumo WA sala ya Kanuni ya Imani. Na mambo mengine mengi ambayo alipojibiwa, yeye hakuridhika pamoja na kueleweshwa vya kutosha. Alikuwa ni Great Thinker sana.
Mbaya zaidi alipokuja kusababisha mpaka akajitenga na kanisa ni kitendo cha kuondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia ikiwemo pia kupunguza baadhi ya mistari kwenye vitabu kama cha Esta na Cha Danieli.
Aliondoa vitabu vya Deutrokanoni na vingine baadhi na kuwa jumla ya vitabu 7 vilivyotolewa kwenye Biblia. Na kila kitabu alikuwa na sababu yake aliyoibainisha. Kimsingi alipata wafuasi wengi WA kumuunga mkono hoja yake hasa wale ambao walikuwa wanatafta njia ya kuchuma pesa kiulaini. Na hapo Biblia mpya ilianza yenye Vitabu pungufu.
Na ndio maana Leo watu hawaujui Ukristo vizuri na wanakinzana bila kujua historia ya kanisa. Watumishi wengi WA Mungu hasa HAWA WA kileo wasiojua historia vizuri wao kila kitu wanapinga. Sio kosa lao Bali ni kosa la kutokujua historia ya kanisa.
Matumizi ya Ubani yalipingwa sana, na hapa ilikuwa ni kuondoa idadi ya waelewa. Kutokana na watu wengi walikuwa wamegeuka kama waganga kila mapepo ya kiwakabili walitumia ubani kuyafukuza na yalikimbia, lakini watu walijisahau kusali na kuomba na hata kufika ibadani ikawa nadra maana wanajua kujiponya kuondokana na majini na wachawi. Hapa Padre Luther na wenzake wakapiga marufuku matumizi ya ubani na kuwa sihi wakazanie Neno zaidi.
Hapa walichotakiwa kufanya ni kuliishi Neno la Mungu na wakati WA ibada basi ubani uchomwe kama Mungu alivyo agiza.
Luther na wenzake lengo lao lilikuwa ni biashara hapo baadae na kimsingi mpango huo ulifanikiwa. Na ndio maana mpaka Leo watu wametawaliwa na mfumo WA majini katika maisha yao kwa kuwa wamefungwa akili ya kujitambua na wanaamini maneno ya mdomoni na sio Maandiko ya Biblia kama yanavyosema.
Nimengi ya kujifunza sana Leo hii lakini kwa Leo naishia hapa.
deogratius Nalimi Kisandu.
1. 1. 2017.
Kwa kifupi Martin luther naweza kusema alikuwa ni Opportunistic...Alipata loop hole ya kuondoa vitabu vya Agano la kale, baada ya kurejea mitaguso ya Kanisa(hasa mtaguso wa trent) masahihisho yanahitajika hapa....
Wakati Kanisa Katoliki lina-compile Bible, Kuna vitabu 7 vya Agano la Kale ambavyo vilipokelewa kwa lugha ya Kigiriki...Hivyo Wayahudi(Waisrael) hawakuvitambua vitabu hivyo simply bze of language....Hivyo Luther akatumia mwanya huo kuviondoa....
Ila alishindwa kuondoa vya Agano jipya maana hivyo vilikuwa nje ya uwezo wake.....Ila ni bahati tuu, maana alisha viondoa vitabu 3... Calvin alimsihi sana kuvirudisha...
Kituko
B/Maria ni Mtakatifu hivyo....Any way acha nendelee ku stick kwenye swali langu la msingi,,,, katika biblia ni wapi tumeambiwa maombi yetu yapitie kwa Bikra Maria?
Acha uongo wew am Anglican na nimezaliwa na kubatizwa low church na sasa ninasali high church hiyo biblia unayoisema wew haipoKakudanganya nani.. ?? Anglican high Church/Episcopal Church hayanatofauti na Catholic Church hata mafundisho yao..Ndio maana sometimes huwa wanapenda jiita Anglo-xatholic...Na biblia yao inavitabu 73/72
kwa hiyo kumbe katoliki ni dini dola huko italia na spain pia anglikan ni dini dola kule uingerezaMkuu kwa hili huna data.... Martine hakuwa Askofu, alikuwa Padre na miongoni mwa sababu zilizomuondoa kwenye kanisa Katoliki ni hili la Uaskofu, alipinga hairakia ya Kanisa na vyeo kama Uaskofu, Upapa na mengineyo. Sema tu mengi aliyoyapinga aliishia kuayatenda akiwa kwenye kanisa lake. Mengine ni suala la Useja, hakutaka kabisa kulisikia na alipoondoka aliondoka na Mtawa wa kike aliyeishia kuwa mkewe.
Mambo ni mengi sana na yanahitaji muda wa kutosha. Lakini niseme tu kwamba "siyo kila alilolipinga lilikuwa baya" mengine aliyapinga kihalali kabisa japo njia aliyoitumia haikuhalalisha kitendo chake!!!
Pili, Biblia za wapeotestanti na wapentekoste zina vitabu 66 wakati biblia ya Wakatoliki ina vitabu 72. Hili lilitokana na kuwa baadhi ya yaliyomo kwenye vitabu hivyo (deuterokanoni) vinapingana na mafundisho yao. Sababu nyingi ni za kibinadamu tu!!! Hili lilikuwa rahisi sana kwake kwani suala zima la "Utaifa" liliingizwq kwenye huu mchakato wa Luther kujiondoa kanisa, matokeo yake kwa vile alikuwa Mjerumani, dhehebu lake likawa "dini dora" ya Ujerumani, katika hali kama hii, ni rahisi kwa uwezo wa kifedha kuchapisha Biblia zenye vitabi 66 na kuviondoa vile vingine!!!!
Kweli gani labda..?Mleta mada unatakiwa uokoke ili uijue kwel ya Mungu.
High Church ndugu halina tifauti na Catholic Church...Na Rozari kule tunasali vizuri....Acha uongo wew am Anglican na nimezaliwa na kubatizwa low church na sasa ninasali high church hiyo biblia unayoisema wew haipo
Mtu hawez kwenda kwa baba ila kwa njia yangu.. Yesu anejiweka kuwa mtu wa kwanza kumuona kabla ya kufika kwa baba ni kama receptionist.. Sio koss kumuomba Mungu moja kwa moja,Yesu ni Mungu sawa na Baba na Roho Mtakatifu...Mungu anatuombeaje sasa....??
Kuwa makini, ndio maana Waislam wanawasumbua kuwa Yesu si Mungu....
Yesu ni Mungu sawa na Baba na Roho Mtakatifu...Mungu anatuombeaje sasa....??
Kuwa makini, ndio maana Waislam wanawasumbua kuwa Yesu si Mungu....