Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Hiyo Sinod inahusiano gani na Martin Luther kupunguza vitabu...???sinodi ya africa 1990 iliyoandikwa na Karol Luangwa akisaidiana na eusebius
Kabla martin luther hajapunguza, biblia hiyo unayosema ilikuwa inasomwa na watu wa chache ilikuwa na jumla ya vitabu vingapi..?