Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
tashwishwi, Wamekwambia "Ni lazima maombi yapitie Kwa Bikira Maria au Wamesema unaweza omba Bikira Maria akuombee?"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaomuomba Bikira Maria awaombee wanajua nini wanafaidi toka kwake,so muwaache waendelee kumuombaHakuna Mkristo duniani anayeweza kumbeza bikra Mariamu, Bado ana heshima yake kama mama mbeba maono, lakini haizuii sisi kuwataka nyie mtuambie ni kwa mamlaka gani mliyopewa katika biblia yeye kuwa muombezi wenu
Ungejibu kwanza halafu ndiyo umuache,siyo unakimbia bwana ya kupigwa nyundo ya utosiNgoja nikuache maana umeamua kujitoa ufahamu
Kabla ya kujua Falsafa na theolojia ni vema wakaweka msisitizo kwenye Elimu Dunia pia ili iwe rahisi kujifunza hiyo Falsafa na TheolojiaNi kuulize, Yesu ni nani..?
Ni Mungu au sio Mungu...?
Hapa ndio utakapojua kuwa kuna umuhimu wa kujua elimu Theolojia na Falsafa....Ukienda kichwa kichwa hivi utajichanganya sana....
dhambi ya usaliti inaendelea, mwisho wa yote watarudi katika ukweliKama sio uhasi wa Luther uenda haya makanisa ya wapiga dili na ibada za kutoa mapepo yasingekuwep.. Ok, yeye alijitoa kanisa Katoliki, mbona na yeye anapingwa na jamii ya walokole?
Na ndio majukumu ya Kanisa Katolko....Ndio maana palipo na Kanisa pana ShuleKabla ya kujua Falsafa na theolojia ni vema wakaweka msisitizo kwenye Elimu Dunia pia ili iwe rahisi kujifunza hiyo Falsafa na Theolojia
Una ushahidi wa hayo usemayo?kitabu cha YUDITHI kinamtaja NEBUKADREZA kuwa ni mfalme wa ninawi,,, Kitabu cha TOBITI ni hadithi za kutunga.
mti chanzo chake ni mbeguMbegu inatoka katika mti ama mti unatoka katika mbegu?
Mkuu una Uhakika na Hili?Kanisa Katoliki lililazimika kuitisha mtaguso mkuu wa Trenta ili kujibu hoja za martin Luther
Mkuu una Uhakika na Hili?
Mkuu Hilo Umechemka kwa Bahati Mbaya sana alikuwa ni Martin Luther aliyelilia The Council of Trento, na Papa wa wakati ule alirefuse Vibaya sana Mtaguso Huo, na Mpaka ule Mtaguso unafanyika nadhani ilikuwa Nov 1545 mpaka 1563 Luther alikwishafariki, Kwa maana hiyo Luther Hakushiriki Mtaguso wa Trento, na ilikuwa ni Luther alikuwa akitaka kupata Suluhu Kati yake yeye na Kanisa Katoliki!100%
hoja yako iko wapi hapa?Hao unaowadhania kwamba wanaijua historia ya kanisa ndio wanaowalawiti watoto na kwa madai yako kwamba luther aliviondoa vitabu7 yaelekea aliviondoa kwasababu viliruhusu kulawiti vivulana pa1 na ushoga.
Hoja ni kutoijua historia sio source ya dhambi kwani waijuao hiyo historia ndiyo vinara wakuu wa dhambi.hoja yako iko wapi hapa?
Wamefikia hatua kila wa2 na biblia yao mfano biblia ya wakatoliki wao kuabunu masanamu ni ruksa....pia kutubu kwa binadamu mwenzao ruksa mfano ww utende dhambi kisha uje kutubu kwangu yaaani ni mambo ya aibu kabisa kabisa dini ya kweli na ya Haki wameikataa kabisa ona sasa wanavyoaibikaKwa hio biblia yenu mtu akiamua kupunguza mistari anapunguza, tu bila ya hofu
Akiamua kuongeZA mistari anaongeza, tu bila hofu
Hizi dini zingine bwana
Lakini wacha, tuachie wenyewe tuone watakavyo shambulia mtoa mada, badala ya kujibu ada hisika
Mkuu Acha Kuropoka, weka hoja hapo Kuna Makosa Gani?Hivi unakijua unachokizungumza ama ni mtt anachezea cm yako?