MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Hivi unatambua kuwa Papa Yohana Paulo II aliomba radhi kwa wayahudi na watu wote walioteswa na kuuawa na kanisa katoliki? ikiwa kanisa katoliki ndilo lililopigwa mawe ilikuwaje papa aombe radhi kutokana na kanisa hilohilo kumwaga damu isiyo na hatia?
Ukiwa unauliza utajifunza. Iko hivi. Kuna kipindi kanisa liliwahi kupitia kipindi kigumu Sana. Kwani siasa ilichanganyika na Dini.Viongozi wa dini ilifikia wakati wanapewa nyadhifa za kisiasa na hata wanasiasa wanapewa baadhi ya nyadhifa kwenye dini. Sasa ilikuja kufikia kipindi wanasiasa wakawa wana influence maamuzi kwenye dini. Ndipo viongozi wakaona ni lazima kutenganisha haya mambo. Mf. Mfalme Henry alitaka kuongeza mke wa pili hivyo akataka Kanisa liidhinishe, Kanisa lilikataa. Ndo maana ukisema Kanisa liliwahi kufanya uovu ni kweli kwasababu wakati Huo hata baadhi ya viongozi wa kisiasa walitumia nguvu walizopewa katika dini kuhalalisha baadhi ya uovu wao.
 
Ukiwa unauliza utajifunza. Iko hivi. Kuna kipindi kanisa liliwahi kupitia kipindi kigumu Sana. Kwani siasa ilichanganyika na Dini.Viongozi wa dini ilifikia wakati wanapewa nyadhifa za kisiasa na hata wanasiasa wanapewa baadhi ya nyadhifa kwenye dini. Sasa ilikuja kufikia kipindi wanasiasa wakawa wana influence maamuzi kwenye dini. Ndipo viongozi wakaona ni lazima kutenganisha haya mambo. Mf. Mfalme Henry alitaka kuongeza mke wa pili hivyo akataka Kanisa liidhinishe, Kanisa lilikataa. Ndo maana ukisema Kanisa liliwahi kufanya uovu ni kweli kwasababu wakati Huo hata baadhi ya viongozi wa kisiasa walitumia nguvu walizopewa katika dini kuhalalisha baadhi ya uovu wao.
Sawa hapo tuko pamoja, na kwa kuwa kanisa lilichanganyika na dola ambayo hapo awali walikuwa hawaupendi ukristo, viongozi haohao wa kisiasa walifanya hila ya kuleta mafundisho potofu kanisani. Ukweli huu unapaswa usemwe wazi na ndio maana kuliibuka vuguvugu kubwa la wanamatengenezo kupinga upotoshaji wa wazi wa Biblia.
 
Sawa hapo tuko pamoja, na kwa kuwa kanisa lilichanganyika na dola ambayo hapo awali walikuwa hawaupendi ukristo, viongozi haohao wa kisiasa walifanya hila ya kuleta mafundisho potofu kanisani. Ukweli huu unapaswa usemwe wazi na ndio maana kuliibuka vuguvugu kubwa la wanamatengenezo kupinga upotoshaji wa wazi wa Biblia.
Ndio maana Kanisa katoliki linabaki kuwa imara kwasababu liliisha pitia majaribu mengi na likarekebisha Makosa.
 
Ndio maana Kanisa katoliki linabaki kuwa imara kwasababu liliisha pitia majaribu mengi na likarekebisha Makosa.
Hitimisho lako linaashilia kuwa kanisa katoliki sio kazi ya Mungu. Ni kazi ya binadamu. Kwa sababu kazi ya Mungu haina makosa wala majaribu. Na hakuna kurekebisha.

Na kwa mtaji huu hata makanisa au dini nyingine, zitapitia majaribu na baadaye kujirekebisha na kuwa imara.
 
Hitimisho lako linaashilia kuwa kanisa katoliki sio kazi ya Mungu. Ni kazi ya binadamu. Kwa sababu kazi ya Mungu haina makosa wala majaribu. Na hakuna kurekebisha.

Na kwa mtaji huu hata makanisa au dini nyingine, zitapitia majaribu na baadaye kujirekebisha na kuwa imara.
Huwezi ukasema Kanisa Katoliki sio mpango wa Mungu....!Kanisa Katoliki ni mpango wa Mungu kupitia mwanadamu na kushibitisha hilo lingekuwa sio mpango wa Mungu lingeshafutika.
 
mnanishangaza sana na kunistua kwa kweli, hivo vitabu mnavodai vilipunguzwa mara viliongezwa (yani kama vipimo vya mchele), si vyote mnadai viliandikwa na manabii na mitume wa Mungu au?

sasa huko kupunguza mara kupunguzwa ni kwambo hao waliandika kwa msaada wa Mungu(according to christians) walikosea au vipi?

Naona mnataka mniaminishe kuwa biblia ni mchakato wa binadam flan waliokuwa na mpango wa kupga dili tu na kuzishika brain zetu aisee.....!

Comment of the century...no one can top this....

Thanks for this wisdom brother!
 
Kutoka 20: 4-6. Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. (5)Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
(6) nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.

Kusujudia sanamu hiyo ndiyo ibada ya sanamu, Mungu amekataza, upo hapo?
Kwani Kanisa linaabudu sanamu...!sanamu ni ishara/kielelezo kuwakumbusha kwamba bwana watu Yesu Kristo aliwambwa msalabani yani ni kama kumbukumbu flani,hata kama imewekwa kanisani sio kwamba inaabudiwa hapana anayeabudiwa pale ni Mungu kwa njia ya msalaba wa mwanae Yesu Kristo kwani ule ndio ulikuwa ukombozi wa mwanadamu,cjui kama utanielewa kwa MTU mwenye mafundisho ya kisabato ni pagumu sana.
 
Kwani Kanisa linaabudu sanamu...!sanamu ni ishara/kielelezo kuwakumbusha kwamba bwana watu Yesu Kristo aliwambwa msalabani yani ni kama kumbukumbu flani,hata kama imewekwa kanisani sio kwamba inaabudiwa hapana anayeabudiwa pale ni Mungu kwa njia ya msalaba wa mwanae Yesu Kristo kwani ule ndio ulikuwa ukombozi wa mwanadamu,cjui kama utanielewa kwa MTU mwenye mafundisho ya kisabato ni pagumu sana.
Kwenye hiyo amri kuna makatazo ya aina mbili:.
1.usijifanyie sanamu ya kuchonga mfano wa kitu chochote,juu mbinguni,duniani,ndani ya maji wala chini ya ardhi.
2.usifisujudie wala kuvitumikia.

Hapo msitafute kuhalalisha sanamu kanisani zimekatazwa. Ndio maana kwenye katekismo yenu amri inayokataza ibada ya sanamu mmeindoa na mkaigawanya amri ya kumi inayozungumzia kutokutamani mke wa mtu wala mali yake, Ninyi katika amri moja mmetoa amri 2 ili kufidia amri ya pili mliyoiondoa.Mbona hili liko wazi?linganisha amri kumi za Mungu katika Biblia Kutoka 20 na zile za kiroma kwenye katekismo yao.
 
Duh! kweli walimu wako walikuwa na kazi...sasa unakataa nini na unakubali nini? Neno la Mungu liko wazi, ibada ya sanamu yaani kutengeneza sanamu ya kitu chochote hata ukipe jina gani zuri
Kutengeneza ni kitu kimoja na kuabudu ni kitu kingine...

, hiyo ni ibada ya sanamu na imekatazwa
Kwani ibada ni nini...??

period. Na hapa Mungu alikuwa hawambii waebrania peke yao, bali maelfu na maelfu wampendao Mungu. Neno la Mungu halina ukomo wa muda.
Maelfu na maelfu ni wakina nani...? Hiyo amri ni kwa Waebrania...Unaishika wewe ni muebrania kwani...?
 
Hivi unatambua kuwa Papa Yohana Paulo II aliomba radhi kwa wayahudi na watu wote walioteswa na kuuawa na kanisa katoliki? ikiwa kanisa katoliki ndilo lililopigwa mawe ilikuwaje papa aombe radhi kutokana na kanisa hilohilo kumwaga damu isiyo na hatia?
Ellen G White alushaomba msamaha kwa mauaji aliyofanya...?
 
Kwenye hiyo amri kuna makatazo ya aina mbili:.
1.usijifanyie sanamu ya kuchonga mfano wa kitu chochote,juu mbinguni,duniani,ndani ya maji wala chini ya ardhi.
Niambie hiyo picha (back Ground pic ) Wakati Rais wa Kanisa la SDA amekuja Tz hapo ni uwanja wa Taifa ni picha ya nani....?
download (4).jpg

.usifisujudie wala kuvitumikia.

Niambie hiyo picha inafanya nini hapo...

Kitaja nataka jibu....
 
Kwa hio biblia yenu mtu akiamua kupunguza mistari anapunguza, tu bila ya hofu
Akiamua kuongeZA mistari anaongeza, tu bila hofu
Hizi dini zingine bwana

Lakini wacha, tuachie wenyewe tuone watakavyo shambulia mtoa mada, badala ya kujibu ada hisika
biblia yenu maana yake nini?
 
Huwezi ukasema Kanisa Katoliki sio mpango wa Mungu....!Kanisa Katoliki ni mpango wa Mungu kupitia mwanadamu na kushibitisha hilo lingekuwa sio mpango wa Mungu lingeshafutika.
Shule ukiisoma vizuri kitu kitamu sana. Nimetumia implication kimuonyesha cheichei kuwa ukisema kanisa lilijirekebisha kuondoa makosa unaondoa kazi ya Mungu na kazi ya binadamu. Huwezi kuwa divine na baadaye unaanza kufanya mabadiliko hili uende na wakati.

Na huu ndio mchango mkubwa wa Luther kwa wakatoliki. Vitu vingi vya Luther ambavyo vilipingwa, wakatoliki wamevikubali baadaye. Sasa hapo nani kaleta mabadiliko? Luther au Roho Mtakatifu?

Kudumu kwa Kanisa Katoliki sio hoja oriental churches nazo zimedumu kwa muda mrefu. Hindu nayo umedumu kwa muda mrefu. Huku Africa wengine bado tunaabudu mizimu toka dunia imeanza. Hivyo kudumu haimaanishi unafanya kitu sahihi.
 
oriental churches nazo zimedumu kwa muda mrefu.

Oriental churches most of them zina-bolong kwenye Eastern Orthodox Churches...

Sasa Eastern Churches (Orthodox) walijitenga na Kanisa Katoliki karne ya 11...
 
KWANINI PADRE Luther ALIFUKUZWA KANISA KATOLIKI? NA KWANINI ALIONDOA BAADHI YA VITABU KWENYE BIBLIA AGANO LA KALE?

Padre Luther alikuwa miongoni mwa Mapdre wenye karama nyingi ndani ya Kanisa katoliki wakati wake, Yeye alikuwa na Madai mengi sana juu ya mapungufu kwa kanisa. Hata hivyo madai yake mengi hayakuwa na msingi wowote.

Moja ya madai yake ilikuwa ni kuondoa kibali cha kwamba baada ya kuungama muumini asipewe stakabadhi ya kuonesha ameungama kwa kuwa kitubio ni siri ya MTU. Hili lilifanyiwa kazi. Mengine ikiwemo kurekebisha mfumo WA sala ya Kanuni ya Imani. Na mambo mengine mengi ambayo alipojibiwa, yeye hakuridhika pamoja na kueleweshwa vya kutosha. Alikuwa ni Great Thinker sana.


Mbaya zaidi alipokuja kusababisha mpaka akajitenga na kanisa ni kitendo cha kuondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia ikiwemo pia kupunguza baadhi ya mistari kwenye vitabu kama cha Esta na Cha Danieli.
Aliondoa vitabu vya Deutrokanoni na vingine baadhi na kuwa jumla ya vitabu 7 vilivyotolewa kwenye Biblia. Na kila kitabu alikuwa na sababu yake aliyoibainisha. Kimsingi alipata wafuasi wengi WA kumuunga mkono hoja yake hasa wale ambao walikuwa wanatafta njia ya kuchuma pesa kiulaini. Na hapo Biblia mpya ilianza yenye Vitabu pungufu.

Na ndio maana Leo watu hawaujui Ukristo vizuri na wanakinzana bila kujua historia ya kanisa. Watumishi wengi WA Mungu hasa HAWA WA kileo wasiojua nhistoria vizuri wao kila kitu wanapinga. Sio kosa lao Bali ni kosa la kutokujua historia ya kanisa.
Matumizi ya Ubani yalipingwa sana, na hapa ilikuwa ni kuondoa idadi ya waelewa. Kutokana na watu wengi walikuwa wamegeuka kama waganga kila mapepo ya kiwakabili walitumia ubani kuyafukuza na yalikimbia, lakini watu walijisahau kusali na kuomba na hata kufika ibadani ikawa nadra maana wanajua kujiponya kuondokana na majini na wachawi. Hapa Padre Luther na wenzake wakapiga marufuku matumizi ya ubani na kuwa sihi wakazanie Neno zaidi.

Hapa walichotakiwa kufanya ni kuliishi Neno la Mungu na wakati WA ibada basi ubani uchomwe kama Mungu alivyo agiza.
Luther na wenzake lengo lao lilikuwa ni biashara hapo baadae na kimsingi mpango huo ulifanikiwa. Na ndio maana mpaka Leo watu wametawaliwa na mfumo WA majini katika maisha yao kwa kuwa wamefungwa akili ya kujitambua na wanaamini maneno ya mdomoni na sio Maandiko ya Biblia kama yanavyosema.
Nimengi ya kujifunza sana Leo hii lakini kwa Leo naishia hapa.

deogratius Nalimi Kisandu.
1. 1. 2017.
Martin Luther ni padre pekee aliyepewa maona ya kulikomboa kanisa na alioneshwa uhalisia wa kanisa linavyoasi. Soma vitabu vingi vya historia ya kanisa utamjua vizuri. Kuwa padre huyu alipewa kipawa cha ajabu
 
Martin Luther ni padre pekee aliyepewa maona ya kulikomboa kanisa na alioneshwa uhalisia wa kanisa linavyoasi.
Kulikomboa kanisa gani...? Lutheran Church limebaki Africa tuu....Ujerumani ni kama limekufa tayari, Sweden watu hata hajui kanisa nini..


Hayo maono, ndiyo yalipelekea yeye kupunguza vitabu 7 vya Agano la kale..?
 
Back
Top Bottom