tunapopishana na nyie ni hapo kwenye 'according to my faith' mwenzako nae kasema 'kutokana na mafundisho ya kanisa' leteni andiko kwenye biblia takatifu ambayo ndio msingi wa ukristo..
Kumuomba mtu akuombee sio kosa, lakini napata shaka kama maombi yako yanafika kama unaeomba akuombee nae alikufa na anasubiri siku ya ufufuo kama wewe. kwa nini usiombe moja kwa moja kwa Yesu Kristo ambae tunaamini yu hai tangu enzi na enzi na milele yote..
Any way acha nendelee ku stick kwenye swali langu la msingi,,,, katika biblia ni wapi tumeambiwa maombi yetu yapitie kwa Bikra Maria?