Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,298
usianze ligi now
tuseme 'inasemekana'
sawa?
Sasa si tunaeleweshana. Unambie inasemekana tu bila ya kunambia wanatumia ushahidi gani, nikiuliza ishakuwa ligi tena!
Haya bana, nakuacha na myths zako.....allegedly wanawake wote wanamapepo