usianze ligi now
tuseme 'inasemekana'
sawa?
mmmh!!!!!wanawake wote wana mapepo....inasemekana wanapokuwa kwenye periods ndo mapepo huwaingiaile damu chafu inawavuta mapepondo maana kuna madhehebu mwanamke akiwa kwenye siku zake hatakiwi kutembea tembea..na siku zikiisha,anatakiwa afanye maombi maalumna wengine wakiwa kwenye siku wanakuwa na mood swings ,yote hayo sababu ya mapepo...
Wanawake ni malango kwa mujibu wa dini...ndio maana majini/mapepo nk hupitia kwao...
Sasa si tunaeleweshana. Unambie inasemekana tu bila ya kunambia wanatumia ushahidi gani, nikiuliza ishakuwa ligi tena!
Haya bana, nakuacha na myths zako.....allegedly wanawake wote wanamapepo
mada inahusu mapepo
na mimi nimejibu kuwa 'inasemekana'
huelewi nini hapo?
nimekuuliza wewe ni atheist?
swali ni hili je wewe unaamini kuna mapepo?
the boss umejibu sawasawa.kwanza itambulike chakula na kinywaji kikuu cha wachawi wanapokuwa katika shughuli zao wanatumia nyama za watoto<mostly mimba changa> na damu.watoto nyama zao ni laini so inaraisisha kuiva haraka na wachawi wengi ni wazee vibogoyo.wachawi wanajua wanawake ndio kiwanda chao cha kuzalisha damu kila mwezi wanakuwa na sehemu ya kugema dunia mzima.ndio maana kunawanawake wengne wakiwa katika period wanaumwa sana hadi anahisi umauti hapo ni majini yanainyonya.
Lete andiko
Wachawi ndo mapepo?
And the blue part is hilarious
yes kwa sababu mapepo/majini yanamilikiwa na wachawi.
kwa hiyo mkeo/dada yako akiumwa na tumbo sana wakati wa siku zake tuache kumpeleka hospitali tumpeleke kanisani akaombewe eee
ndo maana wanawake wengi ni wacha mungu kama unaimani za kishrikina utampeleka kwa mganga,YESU NDO DAWA YA YOTE NDIO MAANA YULE MWANAMKE ALIYETOKWA DAMU KWA 12YRS ALIPOGUSA VAZI LA YESU ALIPONA instantly.
Miziki mingine haichezeki kabisa....Siyo lingala wa samba!!
Ngoja niendelee kuenjoy taarab!
Mungu awatangulie ingawa mnajadili mapepo na majini!!
What has that got to do with the topic at hand?
I believe in aliens so I might as well believe in mapepo for today (taking the possibility that mapepo and aliens are one and the same)
if you dont believe kuna mapepo
if you believe in science only...
hatutaweza kufikia 'kuelewana'
hapa tunazungumzia imani
and all atheist dont believe 'imani'