lakini pia ninashauri ufanye tafiti zako zitakazopelekea wewe kupata practical findings na practical examples....utapata majibu...labda uwe umeamua kubisha tu ndugu yangu
Ni kweli kuwa dark city ipo physically mahali fulani kwenye hii dunia....hata GPS coordinate zake tunaweza kuzipata kirahisii.
Hayo mambo mengine tuendelee tu kuyasikia!
if you dont believe kuna mapepo
if you believe in science only...
hatutaweza kufikia 'kuelewana'
hapa tunazungumzia imani
and all atheist dont believe 'imani'
hapa mnalinganisha maembe matamu kuliko nyama.
Mapepo ya ngono kwa wanawake ni mbaya sana
Mungu yupi?Hivi kwa nini mungu ni mwanaume?
Mungu yupi?
Mungu yupi?
Kwa wanaume je??
Sorry...jana nilisoma mahali kuwa huko Brazil, zaidi ya 30% ya wanaume (wa vijijini) wamewahi kufanya mapenzi na wanyama.....na wanyama wenyewe waliotajwa ni pamoja na kuku, mbuzi, ng'ombe na nguruwe!!
Kazi kweli kweli!!