MJADALA: Maneno, jina huamua malengo au ndoto zako

MJADALA: Maneno, jina huamua malengo au ndoto zako

B M F ICONIC

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
824
Reaction score
1,631
Wale watu wa spiritulity na imani nawaita mje na mifano yenu kuhusiana na hii mada " maneno/jina lina nguvu ili ufikie au usifikie malengo yako". uwa mna siri gani hamuisemi?

Kumekua na hii ishu ya watu kumwambia mtu eti " kwa izo ndoto ulizo nazo na unavyo jiita hutazifanikisha badili jina kwanza." Mfano mtu anaitwa Taabu na ana ndoto za kuwa Rubani basi hawa watu wa spirituality uwa wana mpa manena kuwa urubani na jina unalo jiita ni vitu tofauti bora ubadili jina kwanza ndo utafazifanikisha hizo ndoto

Mfano mwingine, mtu anajitokeza anasema anataka kuwa tajiri namba 1 duniani ila awa watu wa spirituality wanamwambia jina unalo jiita ndo lina impact wewe ufikie au usifikie kwenye ndoto zako.

Mifano ya humu JF
Screenshot_20241124-114350_Opera Mini.jpg
Screenshot_20241124-114915_Opera Mini.jpg

Mimi hua siamini katila hii nadhalia kuwa Jina lina relect personality ya mtu au ufanikiwaji wa ndoto zake.
Kinacho determine wewe ufikie malengo yako ni Mungu , Mindset yako, determination , hard work , Right people , capital , knowledge....... NA SIO JINA LAKO.
Mfano mtu anaitwa pombe Magfl na amekua rais jina lake halija m reflect personality yke kua atakua chapombe hasifikie malengo

Mtu anajiita 50 cent na ana ma millioni na mafanikio makubwa

Wasanii wanajiita majina ya wanyama kama mbuzi lakin wana career na mafanikio makubwa

WAtu wa spirituality / Imani nawaita mje na mifano yenu kuhusiana na hio mada.
Je ni kweli jina lina reflect/ kutoa picha ya wewe ulivyo( personality) na lina affect ufanikiwaji wa malengo? Njoo na mifano
Majadala kwenye huu uzi ni ,
1. Je jina unalo jiita/ itwa lina zuia wewe ufikie au usifikie ndoto zKo?
Does your name limit your succes and goals?

2 Jina lako lina eleza wewe ulivyo yaani tabia mienendo...nk
Does your name reflect/ defines your personality?

mada ni kuhusiana na hayo. Jibuni twende sawa



# WORDS HAS POWER?

Credits to
 
Fanya
Wale watu wa spiritulity na imani nawaita mje na mifano yenu kuhusiana na hii mada " maneno/jina lina nguvu ili ufikie au usifikie malengo yako". uwa mna siri gani hamuisemi?

Kumekua na hii ishu ya watu kumwambia mtu eti " kwa izo ndoto ulizo nazo na unavyo jiita hutazifanikisha badili jina kwanza." Mfano mtu anaitwa Taabu na ana ndoto za kuwa Rubani basi hawa watu wa spirituality uwa wana mpa manena kuwa urubani na jina unalo jiita ni vitu tofauti bora ubadili jina kwanza ndo utafazifanikisha hizo ndoto

Mfano mwingine, mtu anajitokeza anasema anataka kuwa tajiri namba 1 duniani ila awa watu wa spirituality wanamwambia jina unalo jiita ndo lina impact wewe ufikie au usifikie kwenye ndoto zako.

Mifano ya humu JF
View attachment 3160184View attachment 3160185
Mimi hua siamini katila hii nadhalia kuwa Jina lina relect personality ya mtu au ufanikiwaji wa ndoto zake.
Kinacho determine wewe ufikie malengo yako ni Mungu , Mindset yako, determination , hard work , Right people , capital , knowledge....... NA SIO JINA LAKO.
Mfano mtu anaitwa pombe Magfl na amekua rais jina lake halija m reflect personality yke kua atakua chapombe hasifikie malengo

Mtu anajiita 50 cent na ana ma millioni na mafanikio makubwa

Wasanii wanajiita majina ya wanyama kama mbuzi lakin wana career na mafanikio makubwa

WAtu wa spirituality / Imani nawaita mje na mifano yenu kuhusiana na hio mada.
Je ni kweli jina lina reflect/ kutoa picha ya wewe ulivyo( personality) na lina affect ufanikiwaji wa malengo? Njoo na mifano


# WORDS HAS POWER?

Credits to
Fanya kazi utoboe achana na blaah blaah za kiimani
 
Hakuna kitu kama hicho duniani. Maarifa, kufanya kazi Kwa bidii, taarifa sahihi na namna ya kutekeleza Kwa wakati na Kwa usahihi. ndiyo njia ya mafanikio yako. Hivyo basi unajua jina linakuaje tatizo?, jina huwa tatizo pale utakapolikubali jinsi watu wanavyofikiria kuhusu hilo jina, kama ni katika upande wa hasi na ww ukachukulia hivyo basi mambo yako yatakwenda mrama, cha kufanya ni kuziba masikio na kusonga mbele...mafanikio yetu yako juu yetu sisi wenyewe na hili wengi hawalijui.
 
Abrahamu alibadilishwa kwenda Ibrahimu ndipo akapata kuwa baba wa imani. Sarai alibadilishws kwenda Sarah ndipo akampata Isaka,...Yakobo tapeli na muongo alibadilishwa jina na kuwa Israeli...

Jina lako ni gateway ya nafsini mwako
HApo kwa Abrahamu ni baada ya kumcha Mungu na kutii amri zKe ndo Mungu akambariki na akaona na jina alibadili kama leverage. Same to Sarah
 
Abrahamu alibadilishwa kwenda Ibrahimu ndipo akapata kuwa baba wa imani. Sarai alibadilishws kwenda Sarah ndipo akampata Isaka,...Yakobo tapeli na muongo alibadilishwa jina na kuwa Israeli...

Jina lako ni gateway ya nafsini mwako
Saul mteka nyara kwenda Paul mtume wa Yesu
 
Wale watu wa spiritulity na imani nawaita mje na mifano yenu kuhusiana na hii mada " maneno/jina lina nguvu ili ufikie au usifikie malengo yako". uwa mna siri gani hamuisemi?

Kumekua na hii ishu ya watu kumwambia mtu eti " kwa izo ndoto ulizo nazo na unavyo jiita hutazifanikisha badili jina kwanza." Mfano mtu anaitwa Taabu na ana ndoto za kuwa Rubani basi hawa watu wa spirituality uwa wana mpa manena kuwa urubani na jina unalo jiita ni vitu tofauti bora ubadili jina kwanza ndo utafazifanikisha hizo ndoto

Mfano mwingine, mtu anajitokeza anasema anataka kuwa tajiri namba 1 duniani ila awa watu wa spirituality wanamwambia jina unalo jiita ndo lina impact wewe ufikie au usifikie kwenye ndoto zako.

Mifano ya humu JF
View attachment 3160184View attachment 3160185
Mimi hua siamini katila hii nadhalia kuwa Jina lina relect personality ya mtu au ufanikiwaji wa ndoto zake.

Kinacho determine wewe ufikie malengo yako ni Mungu.
Hakuna Mungu anaye determine mtu afike malengo yake.
Mindset yako, determination , hard work , Right people.
Hapa sawa. Hivi ndio hufanya mtu afike malengo yake.
 
Saul mteka nyara kwenda Paul mtume wa Yesu
IShu ya Paul ni pale alipo acha mambo yake ya kidunia na kuamua kumfuata Yesu. Ikawa ishara ya kubatizwa na kuwa chombo kipya nikama leverage( kuinuliwa) haiusina na kutimza malengo.
Sawasaw na uitwe Rais Paul ibraimu na kuinuliwa kwa kuitwa Rais Dokta Paul Ibraimu.

Jina unaloitwa lina zuiaje wewe kufikia/ kufanikisha malengo yako?
 
Wale watu wa spiritulity na imani nawaita mje na mifano yenu kuhusiana na hii mada " maneno/jina lina nguvu ili ufikie au usifikie malengo yako". uwa mna siri gani hamuisemi?

Kumekua na hii ishu ya watu kumwambia mtu eti " kwa izo ndoto ulizo nazo na unavyo jiita hutazifanikisha badili jina kwanza." Mfano mtu anaitwa Taabu na ana ndoto za kuwa Rubani basi hawa watu wa spirituality uwa wana mpa manena kuwa urubani na jina unalo jiita ni vitu tofauti bora ubadili jina kwanza ndo utafazifanikisha hizo ndoto

Mfano mwingine, mtu anajitokeza anasema anataka kuwa tajiri namba 1 duniani ila awa watu wa spirituality wanamwambia jina unalo jiita ndo lina impact wewe ufikie au usifikie kwenye ndoto zako.

Mifano ya humu JF
View attachment 3160184View attachment 3160185
Mimi hua siamini katila hii nadhalia kuwa Jina lina relect personality ya mtu au ufanikiwaji wa ndoto zake.
Kinacho determine wewe ufikie malengo yako ni Mungu , Mindset yako, determination , hard work , Right people , capital , knowledge....... NA SIO JINA LAKO.
Mfano mtu anaitwa pombe Magfl na amekua rais jina lake halija m reflect personality yke kua atakua chapombe hasifikie malengo

Mtu anajiita 50 cent na ana ma millioni na mafanikio makubwa

Wasanii wanajiita majina ya wanyama kama mbuzi lakin wana career na mafanikio makubwa

WAtu wa spirituality / Imani nawaita mje na mifano yenu kuhusiana na hio mada.
Je ni kweli jina lina reflect/ kutoa picha ya wewe ulivyo( personality) na lina affect ufanikiwaji wa malengo? Njoo na mifano


# WORDS HAS POWER?

Credits to
Hakuna mamilioni yasiyo na visenti, 50 alikuwa sahihi kujiita hivyo, ni sawa kupewa talanta 2 ukaleta na 5 faida. Maana yake zikawa 7 from 2....
 
Hizo ni amani tu zisizo na kichwa wala miguu. Jina ni la kukutambulisha tu kwa watu halina maana yoyote.

Utakuta watu wanang'ang'ana kutafta majina mazuri ya watoto wao kwa imani kwamba majina yatawafanya wafanikiwe, utakuta mtu anaitwa brightness, Blessings nk halafu unakuta anajiuza ama anafanya kazi bar.

Majina hayana chochote cha kufanya juu ya hatima yako, usipofanya kazi na kujishughulisha utaishia na umasikini wako na majina yako ya baraka.
 
Hakuna mamilioni yasiyo na visenti, 50 alikuwa sahihi kujiita hivyo, ni sawa kupewa talanta 2 ukaleta na 5 faida. Maana yake zikawa 7 from 2....
Sawa nimekuelewa. Ila kipindi ananza hustle yake kuna wale watu wanaosemaga "unataka kuwa msanii na ufanikiwe uwe na ma millioni na unajiita 50cent badili jina"

Hao ndo watupe siri gani wanaijua kuhusiana na jina
 
Kwanini tusilifikirie hili kinyume chake? Simba alipewa hilo jina kutokana na nini kama sio muonekano wake, ukilisikia neno simba unavuta picha huyo simba mwenyewe, mwishowe mwenyewe unakubali kuwa huyu ni simba kweli. Hata useme Buffalo au Mbogo tunakuelewa unaongelea nini the same kwa Sokwe-mtu (Gorilla) No wonder why kundi la the so called 50 cent walijiita Gorillas Unit...Mondi ni simba, crown huvaa simba, Burna African giant na Gorilla...mifano mingi sana.

Njoo kwa bata sasa, tuje kuku, mbuzi, mbwa, chawa, kunguni, pimbi na vidubwasha visivyo hatarishi kiivyo hata majina yao yanafanania kabisa... dawa ya mende inazunguka kama ubuyu hata sumu ya panya licha ya kuwa hatarishi kwa binadamu, tatizo ni kuhusishwa na panya tu imechukuliwa poa. Huwezi kuta risasi za kuua tembo zipo kwenye vibanda vya wamasai wanauza kama zile shanga zao...

Pointi ya msingi, Majina yapo so related na uhusika, ukikosea mwenyewe simba ukamuita kuku utaijua shughuli yake mbele ya safari. Ila pia hata kuku akaitwa Simba kiasi gani hawezi mtisha mtu yeyote. Wazee wa nyuma waliovipa majina vitu, mimea, majina ya koo, makabila e.t.c wisdom ililala hapo...vizazi vyetu kabeji za mpito.
 
Back
Top Bottom