usikariri kaka.. kiemba analeseni B ya CAF.
1. mpaka unapewa leseni B ni umefundisha chini ya uangalizi si chini ya miaka 4 mpaka 5. kiemba kafundisha tim tofauti tofauti za vijana na hata za kimashindano ni kwamba haujawahi mfuatilia. tatizo watanzania tunahisi mtu amekuja tu ghafla wakati watu wanatumia muda kutengeneza CV zao wakifanikiwa mnahisi wametokea tu ghafla wakapewa tim.
2. huwezi pewa nafasi kwenye tim ya taifa kama hawajui uwezo wako, ile nafasi sio upendeleo kapambana na ameonekana ana uwezi ndio maana kupewa.. HAKUNA KOCHA KWENYE MPIRA ANATOKEA GHAFLA, WATU WANATENGENEZWA
3. kuna kundi kubwa la wachezaji vijana linatengenezwa kwenye vituo vya TFF ninauhakika wakija kuitwa kucheza tim ya taifa mtasema hawachezi ligi kuu kwann wanaitwa