Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

Mjadala: Matatizo ya Makocha WA mpira wa miguu Tanzania

usikariri kaka.. kiemba analeseni B ya CAF.
1. mpaka unapewa leseni B ni umefundisha chini ya uangalizi si chini ya miaka 4 mpaka 5. kiemba kafundisha tim tofauti tofauti za vijana na hata za kimashindano ni kwamba haujawahi mfuatilia. tatizo watanzania tunahisi mtu amekuja tu ghafla wakati watu wanatumia muda kutengeneza CV zao wakifanikiwa mnahisi wametokea tu ghafla wakapewa tim.
2. huwezi pewa nafasi kwenye tim ya taifa kama hawajui uwezo wako, ile nafasi sio upendeleo kapambana na ameonekana ana uwezi ndio maana kupewa.. HAKUNA KOCHA KWENYE MPIRA ANATOKEA GHAFLA, WATU WANATENGENEZWA
3. kuna kundi kubwa la wachezaji vijana linatengenezwa kwenye vituo vya TFF ninauhakika wakija kuitwa kucheza tim ya taifa mtasema hawachezi ligi kuu kwann wanaitwa
Nitahie timu alizofundisha, Ali kamwe naye anasema ana leseni B nitajie timu alzofundisha
 
Nitahie timu alizofundisha, Ali kamwe naye anasema ana leseni B nitajie timu alzofundisha
kama vitu hujui usibishane... huwezi pewa cheti cha ukocha ukapata leseni ya kufundishia kabla hujatimiza vigezo vya ualim. usifikiri izi kozi za makocha ni kama semina tu unaenda unapewa cheti.
 
kama vitu hujui usibishane... huwezi pewa cheti cha ukocha ukapata leseni ya kufundishia kabla hujatimiza vigezo vya ualim. usifikiri izi kozi za makocha ni kama semina tu unaenda unapewa cheti.
Jibu swali Ali Kamwe ana cheti Cha ukocha kufundisha timu gani
 
Back
Top Bottom