Mjadala: Mbwana Samatta ndio mchezaji Bora wa muda wote Tanzania

Kwenye National team hata robo hajawafikia.
Ndiyo maana Maradona anaheshimika sana Argentina kuliko Messi kwa sababu alileta kombe nyumbani
Hata wao hawajamfikia kwenye mafanikio aliyonayo, kwa kuorodhesha moja moja yeye anayo mafanikio mengi tu, labda tu hapa tunafananisha dhama za kale na za sasa hivi, zama za kale wakina tenga kwa bongo walikuwa balaa, dhama hizi huyu dogo hashikiki na mchezaji yoyote wa dhama zake, kwa mafanikio yake hashikiki na mchezaji yoyote wa tanzania, mpira yeye umemlipa kuliko mchezaji yoyote yule.
 
Mkuu lete mafanikio ya hao wachezaji katika level your
Lete records zao walifanya Nini kwenye clubs zao pia
Hata Messi Hana record nzuri na Argentina lakini still ni G.O.A.T
 
Boban kacheza UEFA champions League ujue lakini tayari ana silver wear ya kombe la challenge unamlinganisha vipi na Mbwana Samatta ambaye hajafikia hivyo vitu
Boban kacheza uefa champions league? Ebu lete uthibitisho hapa mkuu boban akiwa uwanjani
 
Boban kacheza UEFA champions League ujue lakini tayari ana silver wear ya kombe la challenge unamlinganisha vipi na Mbwana Samatta ambaye hajafikia hivyo vitu
Bobani amecheza uefa na timu gani mkuu?
 
Sahihi kabisa kwa mafanikio kweli anaongoza lakini kwa ubora na kusakata soka hapana...kuna vichwa vilipita hapa tz hata vingekuwa ulaya vingesumbua tu kama kina Hussein Aman Masha,Hamis Thobias Gagarino, Sanif Lazaro, Peter Tino Stephen Musa.....nk
Walionyesha ufundi wao wakicheza na nani? Simba na Yanga? Maana ubora wa mchezaji unapimwa na level ya ushindani
 
amechukua champions leagua akiwa na mazembe huku akiwa mfungaji bora wa mashindano hayo,nw ndio top score wa ligi ya ubelgiji iliyowatoa wakina de bruyne,felaine,hazard nk.ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa ligi za africa.hizi hao wakina tenga na nsajigwa kuna tuzo gani washachukua
 
Ukienda pale TFF kuna kombe lipo aliyenyanyua zile kwapa ni Nsajigwa
 
Ukienda pale TFF kuna kombe lipo aliyenyanyua zile kwapa ni Nsajigwa
unaweza UKANYANYU kwapa hata kama ulikua majeruhi au ulikua benchi.niambie tuzo alizochukua nsajigwa compared na samatta
 
Samatta is the BESTES if linguistic allows it
 
Boban kacheza UEFA champions League ujue lakini tayari ana silver wear ya kombe la challenge unamlinganisha vipi na Mbwana Samatta ambaye hajafikia hivyo vitu
Acha upotoshaji. Weka ushahidi wa hiyo mechi aliyocheza ya Champions League?!
 
Huo ndio ukweli mchungu. Samatta ni simply the best. Kumfananisha na akina Nsajigwa ni kejeli ya kiwango cha kuogofya.

- Mshindi wa Klabu Bingwa Afrika
- Mshindi wa Kombe la Shirikisho Africa
- Mfungaji Bora wa Klabu Bingwa Africa
- Kucheza michezo ya fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia
- Kucheza Kombe la Europa League
- Miongoni mwa wafungaji bora wa muda wote wa Genk, n.k

Hii ni kwa uchache.
 
Lete vielelezo mkuu, mfano hata gemu flani aliweka rekodi flani
Sasa Itakuwa mahakama hii,,, anyway machache katika mengi kuna wakati ilikuja timu ya taifa ya Ghana The Black Stars kucheza na taifa stars miaka ya 90 huko.... Hussein Aman Masha alikuwa ni kiungo wa kati siku hiyo....aliwadhibiti na kuwakimbiza nyota wa Ghana waliokuwa wakicheza huko ulaya..... mwishoni mwa gem .....wale jamaa waliuliza Masha anacheza timu gani huko ulaya??...wakidhani anakipiga majuu kwa kiwango alichoonyesha.....walipoambiwa anakipiga humu humu ndani,Simba Sport Club ....jamaa walichoka..
 
Mkuu hiki ulichokiandika aibu naona mimi. Tafuta kigezo kingine hiki hapana.
 
Mkuu hiki ulichokiandika aibu naona mimi. Tafuta kigezo kingine hiki hapana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa Kama ndo mahakamani akimu lazima ampige mvua za kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…