Mjadala: Mbwana Samatta ndio mchezaji Bora wa muda wote Tanzania

Mjadala: Mbwana Samatta ndio mchezaji Bora wa muda wote Tanzania

Kipindi Rais Mstafu Mwinyi anatoa kauli kuwa "Taifa stars ni kichwa cha mwendawazimu" ilikuwa enzi ya wachezaji wapi! ., hili ni swali fikirishi

Tumekua tukiaminishwa kuwa wachezaji wa zamani walikua bora na wanaojitambua hapo hapo utatajiwa mara Manara ohoo! Kizota mara mara George Masatu na Upuuzi Mwingi mwingi lakini unaporudi kwenye record unagundua timu zetu kubwa walizochezea Simba na Yanga hazijawahi kufikia mafanikio ya kurudisha mfano kumbe hata Yanga imeanza kuweza kufuzu hatua ya makundi kumbe la shirikisho siku hizi hizi nadhani mwaka juzi and is so sad kwa wachezaji wa zaman!

Nawaza labda Zamani kwa sababu ya wachezaji wazuri tulokua nao labda stars ingekua ina record walau kushiriki tu AFRICON naona changa tu.

Tukubali tu wachezaji wa zamani ni vilaza tu tena hawawafikii hata hawa wa kizazi chetu, baba zetu pia hawakupambana vya kutosha kwa ajili ya Timu zetu na wanyamaze kwani record zao ni za ovyo ovyo tu.
 
Ukweli huyu ni mchezaji bora kuanzia 1961 mpaka 2025
 
Mbwana Samatta hajayafikia mafanikio ya kina Tenga na hata mafanikio ya kina Nsajigwa na kundi lake.
Ukweli uko hapa.
Kina Tenga na wenzake walicheza fainali za AFCON.
Kina Nsajigwa na wenzake walicheza fainali za CHAN na kubeba kombe la challenge
Huyu Samatta na wenzake hawajaleta hata kikombe cha chai
Usilinganishe watoto na wanaume.

Zungumzia mafanikio binafsi coz kwny team ya taifa hachezi peke yake anacheza na wachezaj wabovu kama Messi na Arg
 
Mbwana anakipaji lkn si kile cha kutisha, ila uzuri wa Mbwana alijitambua anataka nini akajituma hatimaye Mungu akampa. Ila tokea nianze kuangalia mpira Kuna watu na wakubali kuliko Samatta walikuwa na vipaji vikubwa lkn hawa kujitambua wala kujituma mtu kama Lunyamila, Boban, Chuji hawa watu kwangu walikuwa hatari, ila ujinga wao na kutojitambua kwao waliona soka la bongo wamemaliza.
Leodiger Tenga na wenzake walifikaga hadi fainali AFCON mwaka 1998 kama sikosei mbona hawatajwi?
 
Boban kacheza UEFA champions League ujue lakini tayari ana silver wear ya kombe la challenge unamlinganisha vipi na Mbwana Samatta ambaye hajafikia hivyo vitu

UEFA ipi kacheza Boban mkuu tupe kumbukumbu
 
Kipindi Rais Mstafu Mwinyi anatoa kauli kuwa "Taifa stars ni kichwa cha mwendawazimu" ilikuwa enzi ya wachezaji wapi! ., hili ni swali fikirishi

Tumekua tukiaminishwa kuwa wachezaji wa zamani walikua bora na wanaojitambua hapo hapo utatajiwa mara Manara ohoo! Kizota mara mara George Masatu na Upuuzi Mwingi mwingi lakini unaporudi kwenye record unagundua timu zetu kubwa walizochezea Simba na Yanga hazijawahi kufikia mafanikio ya kurudisha mfano kumbe hata Yanga imeanza kuweza kufuzu hatua ya makundi kumbe la shirikisho siku hizi hizi nadhani mwaka juzi and is so sad kwa wachezaji wa zaman!

Nawaza labda Zamani kwa sababu ya wachezaji wazuri tulokua nao labda stars ingekua ina record walau kushiriki tu AFRICON naona changa tu.

Tukubali tu wachezaji wa zamani ni vilaza tu tena hawawafikii hata hawa wa kizazi chetu, baba zetu pia hawakupambana vya kutosha kwa ajili ya Timu zetu na wanyamaze kwani record zao ni za ovyo ovyo tu.
Upo 100% sahihi mkuu ila vijiweni kwenye kahawa ndo wanatuaminisha na story zao za kina kibaden, Sunday Manara
 
2010-11 Boban alikuwa Gefle IF na hii timu ilipangwa kucheza na Liverpool ktk mechi za awali za uefa! Kabla hii mechi haijafika Haruna MOSHI akakinukisha issue za kimaslahi na contract, na hatimaye wakala wake Damas Ndumbaro akakubali yaishe, Haruna akarudi Nyumbani!
Boban kacheza UEFA champions League ujue lakini tayari ana silver wear ya kombe la challenge unamlinganisha vipi na Mbwana Samatta ambaye hajafikia hivyo vitu
 
Back
Top Bottom