E and E
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 1,126
- 985
Kipindi Rais Mstafu Mwinyi anatoa kauli kuwa "Taifa stars ni kichwa cha mwendawazimu" ilikuwa enzi ya wachezaji wapi! ., hili ni swali fikirishi
Tumekua tukiaminishwa kuwa wachezaji wa zamani walikua bora na wanaojitambua hapo hapo utatajiwa mara Manara ohoo! Kizota mara mara George Masatu na Upuuzi Mwingi mwingi lakini unaporudi kwenye record unagundua timu zetu kubwa walizochezea Simba na Yanga hazijawahi kufikia mafanikio ya kurudisha mfano kumbe hata Yanga imeanza kuweza kufuzu hatua ya makundi kumbe la shirikisho siku hizi hizi nadhani mwaka juzi and is so sad kwa wachezaji wa zaman!
Nawaza labda Zamani kwa sababu ya wachezaji wazuri tulokua nao labda stars ingekua ina record walau kushiriki tu AFRICON naona changa tu.
Tukubali tu wachezaji wa zamani ni vilaza tu tena hawawafikii hata hawa wa kizazi chetu, baba zetu pia hawakupambana vya kutosha kwa ajili ya Timu zetu na wanyamaze kwani record zao ni za ovyo ovyo tu.
Tumekua tukiaminishwa kuwa wachezaji wa zamani walikua bora na wanaojitambua hapo hapo utatajiwa mara Manara ohoo! Kizota mara mara George Masatu na Upuuzi Mwingi mwingi lakini unaporudi kwenye record unagundua timu zetu kubwa walizochezea Simba na Yanga hazijawahi kufikia mafanikio ya kurudisha mfano kumbe hata Yanga imeanza kuweza kufuzu hatua ya makundi kumbe la shirikisho siku hizi hizi nadhani mwaka juzi and is so sad kwa wachezaji wa zaman!
Nawaza labda Zamani kwa sababu ya wachezaji wazuri tulokua nao labda stars ingekua ina record walau kushiriki tu AFRICON naona changa tu.
Tukubali tu wachezaji wa zamani ni vilaza tu tena hawawafikii hata hawa wa kizazi chetu, baba zetu pia hawakupambana vya kutosha kwa ajili ya Timu zetu na wanyamaze kwani record zao ni za ovyo ovyo tu.