Mjadala: Mwalimu kuvaa hivi Darasani ni sawa?

Ni sawa kabsa kama unazo picha za wafanya kazi wa bot weka tuone.
 
Kwani kuna tatizo gani hapo kwa uvaaji wa huyo mwalimu?

Tiba
 
Reactions: BAK
Mie pia sioni tatizo kama anafundisha kokote kule, wenye matatizo ya Mwalimu kuvaa hivi darasani wana lao jambo. Nimeukuta huu mjadala mtandaoni na kuamua kuuleta hapa.

Kwani kuna tatizo gani hapo kwa uvaaji wa huyo mwalimu?

Tiba
 
Ningefundishwa na mwalimu kama huyo walahi ningegonga A masomo yote na saa hivi nsingekuwa nabeba boksi.

Mahudhurio yangu nayo yangekuwa 'perfect' kabisa.

Gademu! Walikuwa wapi walimu wa hivi enzi zetu?
 
Ha ha haaa...nimecheka sana. Daah!!! Hapo mwanafunzi baada ya kuangalia ubaoni anaangalia mengine.

Huyu hatakiwi kushika chaki anatakiwa kuwa Naibu wa Wizara ya Elimu au Mkuu wa Wilaya ya ya ya .....
 
Ningefundishwa na mwalimu kama huyo walahi ningegonga A masomo yote na saa hivi nsingekuwa nabeba boksi.

Mahudhurio yangu nayo yangekuwa 'perfect' kabisa.

Gademu! Walikuwa wapi walimu wa hivi enzi zetu?

Pale Shybush enzi hizo tulikuwa naye kama huyo misonge ya Geography ilirindima kila mwaka !!!
 
Mie pia sioni tatizo kama anafundisha kokote kule, wenye matatizo ya Mwalimu kuvaa hivi darasani wana lao jambo. Nimeukuta huu mjadala mtandaoni na kuamua kuuleta hapa.

Kama huoni tatizo kwa nn ukauleta Huku
 
Kumbe muonekano wa Mwalimu unasaidia eeh! Kwa Wanafunzi kufanya vizuri.

...pale Shybush enzi hizo tulikuwa naye kama huyo misonge ya Geography ilirindima kila mwaka !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…