Ha ha haaa...nimecheka sana. Daah!!! Hapo mwanafunzi baada ya kuangalia ubaoni anaangalia mengine.
Kwani kuna tatizo gani hapo kwa uvaaji wa huyo mwalimu?
Tiba
Ningefundishwa na mwalimu kama huyo walahi ningegonga A masomo yote na saa hivi nsingekuwa nabeba boksi.
Mahudhurio yangu nayo yangekuwa 'perfect' kabisa.
Gademu! Walikuwa wapi walimu wa hivi enzi zetu?
Mie pia sioni tatizo kama anafundisha kokote kule, wenye matatizo ya Mwalimu kuvaa hivi darasani wana lao jambo. Nimeukuta huu mjadala mtandaoni na kuamua kuuleta hapa.