uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Sio sahihi wanafunzi watajikita zaidi kumuangalia badala ya kuzingatia masomo taaluma ya ualimu huzingatia sana mwonekano wa Mwalimu kama vile ambavyo mwonekano wa mwanafunzi huzingatiwa.
hebu fikiria kama unaweza kumruhusu mwanafunzi wa kike avae hivyo na asimame mbele au akae lazima kutakuwa na shida.
hebu fikiria kama unaweza kumruhusu mwanafunzi wa kike avae hivyo na asimame mbele au akae lazima kutakuwa na shida.