Niliitizama yote na hata marudio yake ya jana.Huko ndiyo tunaita kupotosha umma, umeongea vizur kasoro ni pale tu uliposema Zuchu anaimba mziki wa aina moja, Kama ulifatilia official lounge yake alipokua akihojiwa usingesema hayo maneno
Tumpe muda Kwanza at least a year Kama atakua akiimba tu hiyo baibuda bila kubadilika basi comment yako itakua proved lakin siyo fair for an EP unakuja na assumption.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nandy kaingiwa na uwoga sasa hivi. Huyu alikuwa anapaishwa na clouds na ile chupi yake ilimbustisha umaarufu pia.Mjadala unaendelea mitandaoni wakishindanishwa Nandy na Zuchu nani hodari wa kuimba? Kura yako kwa nani?
View attachment 1419744
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasisitiza tuNandy Anaelekea kuwa legend, Zuchu ndio kwanza anaanza. Ili uitwe legendary kwenye muziki ni lazima uwepo kwenye game kwa 15 years.
Zuchu ni mwandishi, Nandy sio mwandishi.
Nandy ni best vocalist anaweza kuimba styles zote mfano R&B, Gospel na Rumba.
Zuchu ni limited kwa aina ya muziki anaoufanya Baibuda.
.
all in all kumlinganisha Nandy na Zuchu ni kumkosea heshima Nandy ni sawa na kumlinganisha Torry lanez na Jay z people will call you mad!
Mhh bila shaka Nandy amekupokonya Bill Nas wako.Nandy kaingiwa na uwoga sasa hivi. Huyu alikuwa anapaishwa na clouds na ile chupi yake ilimbustisha umaarufu pia.
Yes tumpe Zuchu mwaka mmoja ndiyo tufikifikirie wa kumshindanisha naye.Huko ndiyo tunaita kupotosha umma, umeongea vizur kasoro ni pale tu uliposema Zuchu anaimba mziki wa aina moja, Kama ulifatilia official lounge yake alipokua akihojiwa usingesema hayo maneno
Tumpe muda Kwanza at least a year Kama atakua akiimba tu hiyo baibuda bila kubadilika basi comment yako itakua proved lakin siyo fair for an EP unakuja na assumption.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani bil nas anakunjwa nae kama wewe?Mhh bila shaka Nandy amekupokonya Bill Nas wako.
Hapa tayari umeshapanic 🤣🤣🤣Kwani bil nas anakunjwa nae kama wewe?
Yaani unamkosea heshima nandy kumlinganishA na zuchuMjadala unaendelea mitandaoni wakishindanishwa Nandy na Zuchu nani hodari wa kuimba? Kura yako kwa nani?
View attachment 1419744
Sent using Jamii Forums mobile app