Vijana wengi wadogo hawajui. Kuna umri unafika unaanza 'kupoteza' marafiki. Watu wako busy na familia(wale unaolingana nao umri) mwisho wa siku unaanza ku-hang out na vijana wadogo kuliko wewe kwasababu ndio wanaopatika kirahisi.Ukijibu hivyo anaanza tena kukupa mifano ya ndoa zilizoshindikana mwisho uzeeni wakaelewana, unabaki unajiuliza "hivi hapo ndio anaona ananisaidia au anaharibu maana unajua raha ya ndoa utaipata uzeeni duuh!!"
Huwa nafikiri hakuna asiependa kuwa na familia bora,hata wale ambao huwa wanachukua maamuzi ya kutokuoa au kuolewa, awali walifikiria vinginevyo ila baadae mambo yakawa sio mambo ndio ikawa vile tena.
Kweli nimeelewa kwanini mkulu alisema yeye hashauriki............maana binadamu ni kivuli cha kugeuka geuka!Ukijibu hivyo anaanza tena kukupa mifano ya ndoa zilizoshindikana mwisho uzeeni wakaelewana, unabaki unajiuliza "hivi hapo ndio anaona ananisaidia au anaharibu maana unajua raha ya ndoa utaipata uzeeni duuh!!"
Huwa nafikiri hakuna asiependa kuwa na familia bora,hata wale ambao huwa wanachukua maamuzi ya kutokuoa au kuolewa, awali walifikiria vinginevyo ila baadae mambo yakawa sio mambo ndio ikawa vile tena.
Unaulizwa hivi una watoto wangapi....wakati hata mimba hujawahi beba!Usiombe kukutana na class mates wa enzi hizo, Dah! Maswali mia na kidogo!
Wacha wamkomalie, aolewe apunguze stress za ndoa apa Jamii ForumHuyu dada mmemkomalia!
Kabisa japo hao wadogo nao yataka moyo kujichanganya nao..............kizazi chenyewe hiki cha dotkomVijana wengi wadogo hawajui. Kuna umri unafika unaanza 'kupoteza' marafiki. Watu wako busy na familia(wale unaolingana nao umri) mwisho wa siku unaanza ku-hang out na vijana wadogo kuliko wewe kwasababu ndio wanaopatika kirahisi.
Huwa nawajibu simple tu,sina hata wa kusingiziwa!Unaulizwa hivi una watoto wangapi....wakati hata mimba hujawahi beba!
Kwanzaa watu wanashindwa kuelewa kwamba kuoa au kuolewa sio swala la Msingi sana, kwa dunia ya technology ya sasa.Mimi cha kwanza sitaki kuolewa na mwanaume mwenye mtoto we mungu nisaidie,
--sitaki kuolewa na mwanaume chini ya miaka 27
--sitaki kuolewa na mwanaume ambaye hajasoma ee mungu nisaidie.....
Lkn bado sijaona sababu ya mimi kuolewa coz kwangu siyo lazimaa
Usioe kwa kuogopa maneno ya watu,oa kwa kuwa unaona sasa yafaa kuoa. Hayo ni maisha yako,ishi uwezavyo usiishi watakavyo!Mwaka huu lazma niowe ishakuwa noma sasa naona noma kwenda likizo home[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanabaki tu kukushangaa.Huwa nawajibu simple tu,sina hata wa kusingiziwa!
Mwisho wa siku anabaki kuteseka na hiyo ndoa yake!Kosa kubwa sana kuoa under pressure.
Unaulizwa hivi una watoto wangapi....wakati hata mimba hujawahi beba!
Nimependa hapoVijana wengi wadogo hawajui. Kuna umri unafika unaanza 'kupoteza' marafiki. Watu wako busy na familia(wale unaolingana nao umri) mwisho wa siku unaanza ku-hang out na vijana wadogo kuliko wewe kwasababu ndio wanaopatika kirahisi.
Anataka kuoa malaikahongera mzee labda kwa kusubiri huko unaweza kukutana na mwanamke wa ndoto zako.
Kwa tamaduni na mazingira ya kiafrika yalivyo ukishafika miaka 33+ ni vigumu sana kupata mwenza aliye sahihi hii ni kwa jinsia zote!
Kwa umri huo watu wa umri wako ambao wako available watakuwa ni wataraka au masingle mothers/fathers na waliokobuhu kwenye mahusiano kiasi kwamba hata kuumiza au kuumizwa hawaoni shida kabisa.
Inategemea ww ulieandika haya sahvi una umri gan? Ila ujue km mwanaume ulie kamilika muda ukifika utaona tuu.. na utakapo jua kazi ngumu y kumpata mke ilivyo. Ni tofaut kbs kumpata demKwanzaa watu wanashindwa kuelewa kwamba kuoa au kuolewa sio swala la Msingi sana, kwa dunia ya technology ya sasa.
Kwa sababu huduma nyingi ambazo watu wanazipata katika ndoa zinapatikana pia katika maisha yetu haya.
Hasa hasa kwa sehemu za mijini