Nimekuja huko DM nimekaa weeeee huonekani!!Kwa anetaka ndoa upo serious anicheck DM. Sitanii
Thank you for appreciation BINTIYAZAumeongea ukweli mtupu
Duh no comment. That thread will haunt me for the rest of my JF life!Expossure ilimkosesha Heaven Sent mume, angekuwa mrs RRONDO sasa hivi lol[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Jiandae kuwa Single Mama tukutoooooooooooo*****e mpaka akili zikurudieBills tulipe wote, diaper to change wote, chakula tupike wote, just share "errythang"! Mind you doesnt have to be 50/50 but cant be 90/10 either. Simply put, I want a life partner vs. a daddy, a master, or a general!
Thank you for appreciation BINTIYAZA
unajua aina ya watu kama huyo jamaa ndio wanaotuharibia wanawake, sasa hapo kupata uto tu binti tuwili out of desperation basi ndio ameona wanawake wote mchawi wao pesa tu.
Ulemavu huo!
Na bora hata ulivyohuna hela ya kumtunza mwenzio ...nani anataka ndoa ya mkataba kwa mfanomie ni vile sina kipato tu cha kukidhi kumtunza mwenzangu ila tofauti na hapo ngejitupia popote (ndoa ya serikali) kama chaguo likiwa si sahihi navunja ndoa.
mambo ya ndoa za kufungana maish nani? anataka.
Ndio, 26 bado mdogo. Vijana wengi wanachelewa kukua(mentality) miaka hii.Brod darlin, miaka 26 ni mdogo sana?
Kakudanganya nani mkuu....pesa sio kila kitu amin nakwambiaKitu special kitakachobaki ni pesa tu, hio inafukia mashimo yote.
Na bora hata ulivyohuna hela ya kumtunza mwenzio ...nani anataka ndoa ya mkataba kwa mfano
Kisicho riziki hakiliki hebu njoo na huku hapa hataniwi mtuNimekuja huko DM nimekaa weeeee huonekani!!
Ndio, 26 bado mdogo. Vijana wengi wanachelewa kukua(mentality) miaka hii.
I prefer 28++
Sisi wahenga tunafaana Mbiti.[emoji12]nilisema majuzi tu sijui why
Mweeeeh!! Mie utasikia olewa bwana,mara oooh bora wewe haujaolewa na usiolewe, kesho tena unashauriwa kuolewa. Huwa nawaitikia tu kila ushauri hata sitii neno.Well...rafiki zangu watano(watatu wadogo kuliko mimi) ni mmoja tu ndoa yake ipo hadi leo. Lakini experience zao hazitaathiri uamuzi wangu kwenye suala hili.
Kama alikufa kwa maralia je haumtaki?Single moms, dah!!
Mzazi mwenzie awe alikufa TENA kwa ajali na si vinginevyo.
No offense!!
Haaaaaaa upendi ukubwa eti.sijajua ana shida gan ! hapana huko unanipeleka mbali !
Sisi wahenga tunafaana Mbiti.[emoji12]
Naunga mkono hojaSingle moms, dah!!
Mzazi mwenzie awe alikufa TENA kwa ajali na si vinginevyo.
No offense!!
Haaaaaaa upendi ukubwa eti.
Tuombeane kwa kweli