MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Mi nawaza hivii ukiolewa ili mradi tu kuolewa hujampenda huyo mme siku akiugua unamuuguzaje,,(nilivyo na kinyaa kwa mtu ambae hayupo moyoni )
Siku akiishiwa pesa itakuwaje?maana uliolewa tu ili mradi jamii ione nawe umeolewa
Na ndoa ni mjumuiko wa mambo mengi sana sio ngono tu
Tunaowapenda hawatuoi ,sijui tutaolewa na kina nani
Mim mtu ambae naweza kuishi nae ni mmoja tu huyo hata akiugua naweza kumuuguza hata akijinyea naweza mtawaza maana nampenda simuoneagi kinyaa
Mim kama hatonioa huyo nitakaa tu bana mpaka atokee mwingine atakaeniingia kichwani sana
maana wengine sitokuwa na mapenzi nao halaf watanikifu hahaahhaha
Mie na kinyaa cha kunyonya nanihii tu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] ila ya kuhudumia nahudumia hata mtu baki bila tatizo lolote. Mfn ile ya kumtoa mtoto kamasi kwa kunyonya(kumradhi), nimewahi muhudumia jirani yangu ambae hata hatuko close baada ya kukosa mtu wa kumhudumia.

Ila hivyo vitu vyataka moyo.
 
Hapana mkuu..................I'm pretty chill and normal 🙂
I was just lucky enough to come to a realization very early on in my life that I am valid and worthy, with or without a man in my life! This I believe is one the main struggle for most of the ladies especially kwenye culture za kiafrica.
Unataka kufanana na gf wa jamaa mmoja aliwahi kuleta kisa chake humu. Huyo binti yaani ni dont care, asipomtafuta nae hamtafuti, akilalamika kidogo anaambiwa kama vipi anaweza akaendelea na ustaarabu wake tu!! Ikawa ni full psychological tourture kwa mwanauke.

Maana ile feeling ya mtu kuona kuwa una umuhimu kwenye maisha yake nayo muhimu ktk ndoa.
 
Wanaume wenye mentality kama hii yako obvious wana mipaka yao linapokuja suala la ku-approach wanawake.

Mwanaume mwenye mentality kama hii yako mara nyingi huwanasa wanawake wavivu wasiokuwa na maono ya mbali na future zao!

Mwanaume mwenye mentality kama hii yako ni nadra sana kuwa na ujasiri wa kumfuata mwanamke msomi ambae tayari yuko financially stable(unless uwe na cha ziada)

mwanaume anasema tajiri hazeeki na anatumia pesa kama msingi wa kujenga ndoa ni rahisi kulea watoto wa mwanaume mwenzie bila ya yeye kujua.

mwanaume mwenye mentality kama yako yuko kwenye hati hati ya kumpata mwanamke mwizi na muhuni.
Njoo uchukue mbege yako hapa
 
Mie na kinyaa cha kunyonya nanihii tu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] ila ya kuhudumia nahudumia hata mtu baki bila tatizo lolote. Mfn ile ya kumtoa mtoto kamasi kwa kunyonya(kumradhi), nimewahi muhudumia jirani yangu ambae hata hatuko close baada ya kukosa mtu wa kumhudumia.

Ila hivyo vitu vyataka moyo.
Duh.
 
Ooooh nimekumbuka, sasa si bora wewe ulikuwa nacho kimoja. Mie aliniambia hata cha bahati mbaya sina mweeeeh[emoji134] [emoji134] [emoji134]

Kwa vigezo vile basi mie naona tusubiri subiri kushona sare maana zitapitwa 'fashoni' na Mentor nae sijui aliishia wapi na vigezo vyake!!
Sasa japo nilikuwa nacho kimoja, si unaona bado nilikatwa daah
 
Mie na kinyaa cha kunyonya nanihii tu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] ila ya kuhudumia nahudumia hata mtu baki bila tatizo lolote. Mfn ile ya kumtoa mtoto kamasi kwa kunyonya(kumradhi), nimewahi muhudumia jirani yangu ambae hata hatuko close baada ya kukosa mtu wa kumhudumia.

Ila hivyo vitu vyataka moyo.
Hapo kunyonya kamasi nimekupa salute aisee shikamooooo
Mi mwanangu tu nilishindwa na yalikuwa yamemkaba balaa, nikafumba macho nikayavuta Halafu mbio kwenda kutema na kusukutua
 
Akili kubwa hii Mkuu, hongera sana.

Wanaume wenye mentality kama hii yako obvious wana mipaka yao linapokuja suala la ku-approach wanawake.

Mwanaume mwenye mentality kama hii yako mara nyingi huwanasa wanawake wavivu wasiokuwa na maono ya mbali na future zao!

Mwanaume mwenye mentality kama hii yako ni nadra sana kuwa na ujasiri wa kumfuata mwanamke msomi ambae tayari yuko financially stable(unless uwe na cha ziada)

mwanaume anasema tajiri hazeeki na anatumia pesa kama msingi wa kujenga ndoa ni rahisi kulea watoto wa mwanaume mwenzie bila ya yeye kujua.

mwanaume mwenye mentality kama yako yuko kwenye hati hati ya kumpata mwanamke mwizi na muhuni.
 
Back
Top Bottom