MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Ni kweli aisee. Jamaa wakiweza kuavoid majeruhi ya kutisha basi watakimbiza sana msimu ujao. Hata OKC nao wako bomba.

Ni vizuri sana kama mambo yapo OK hakika ni suala la kumshukuru muumba...

Na pia Usisahau kuwa Lebwade is back at the Land!
 
Nyie ndio nilitaka niwaguse ili mpate hasira ya kuzisaka sana, sasa tatizo vibinti vinaona uko serious vinaomba mbinu kumbe hata mbinu ya kupata buku tu sina !!!
Nikaona huu sasa msala.
Hivi tunavyosema mnawaingiza chaka wenzenu unafikiri tunatania? Mimi siwezi kusumbuliwa na msimamo wa miss chagga ila kuna wenzenu wanabeba myasemayo na wanaona ndio maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…