Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Yes mother of many.Mother of many?? Are you married??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes mother of many.Mother of many?? Are you married??
Teh teh teh teeeeh!Nisingeandika hii thread...
Hongera!!Yes mother of many.
Hizo chura za kichina uliofanya ziwepo ni nyie wenyewe, wao wanaangalia ni nini mpenda sana kisha wanakifanyia kazi kukipata kwa njia yoyote.Mimi changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni kwamba chura nyingi ni za kichina![emoji58][emoji58][emoji58]......kwa mpenda chura kama mimi hiyo imekuwa ni changamoto kubwa!
Mhhhh!!!! UnanichomeshaNimetuma pm weeeh hata sijibiwi!!
Watoto mnapenda ukubwa!! Haya we mkubwa maa[emoji85][emoji85]hehe u wish
Hujakosea!!Naona wewe unafanya analysis tu...
Watoto mnapenda ukubwa!! Haya we mkubwa maa[emoji85][emoji85]
Hahahaaaaa!! Chizi wewe!Im good in convincing and training beginners!
Umeaoa au badoHizo chura za kichina uliofanya ziwepo ni nyie wenyewe, wao wanaangalia ni nini mpenda sana kisha wanakifanyia kazi kukipata kwa njia yoyote.
Sasa hivi ukipita mitaa ya Sinza unaona kila dada ana furushi nyuma, utafikiri wamemwagwa na fuso sasa hapo kujua ipi ni OG na ipi ni made in Shanghai kweli changamoto.
Pole sana pro-chura
Zingine ni majaradio ya "pampas/diapers", ukigusa tu unajua sicho!Hizo chura za kichina uliofanya ziwepo ni nyie wenyewe, wao wanaangalia ni nini mpenda sana kisha wanakifanyia kazi kukipata kwa njia yoyote.
Sasa hivi ukipita mitaa ya Sinza unaona kila dada ana furushi nyuma, utafikiri wamemwagwa na fuso sasa hapo kujua ipi ni OG na ipi ni made in Shanghai kweli changamoto.
Pole sana pro-chura
Asante.Hongera!!
Kama nilikusoma zamani kiasi ulikuwa kwenye ndoa then mkaaachana ikawa mvutano ikiwa Ndugu wanatia figisu mgawane mali (nyumba?) Wakaufyata!!!Mweeeeh!! Mie utasikia olewa bwana,mara oooh bora wewe haujaolewa na usiolewe, kesho tena unashauriwa kuolewa. Huwa nawaitikia tu kila ushauri hata sitii neno.
Mkuu, uamini usiami hivi tunavyoandika humu vina influence sana, kuna yule mtangazaji wa cloudz kwenye ala za roho huwa anasoma mpaka comments za hizi mada tunazojadili humu.Kati ya mambo yalonifanya niache kuhubiri pesa humu ni hilo mkuu. Kumbe kuna watu wanachukulia mambo humu very serious!! Kiranga komo!!
Khaaaah!! Tena wewe ndio hata usiongee!!marahabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa