MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Message delivered. Received.
 
Reactions: SDG
Kijana kuna kitu unamiss siku hizi naona, nakumbuka ule uzi wako mtoto wa maid anakupenda sana, na ule wa umekua mkubwa, saa nne usiku uko nyumbani licha ya kwamba hela ipo!
Taratiiibu!!
 
Kikwazo tofauti ya umri.
 
Kijana kuna kitu unamiss siku hizi naona, nakumbuka ule uzi wako mtoto wa maid anakupenda sana, na ule wa umekua mkubwa, saa nne usiku uko nyumbani licha ya kwamba hela ipo!
Taratiiibu!!
Ha ha ha ha ile ni akili ya weekend mkuu....
 
Mimi cha kwanza sitaki kuolewa na mwanaume mwenye mtoto we mungu nisaidie,
--sitaki kuolewa na mwanaume chini ya miaka 27
--sitaki kuolewa na mwanaume ambaye hajasoma ee mungu nisaidie.....

Lkn bado sijaona sababu ya mimi kuolewa coz kwangu siyo lazimaa
 
hii tafiti uliifanyia wapi ?
Nina zaidi ya milongo miwili katika hii dunia tangu nimepevuka, nimeishi mikoa karibia yote hapa nchini zaidi ya hapo nimewahi kuishi mpaka nchi jirani yaani Kenya na Mozambique, nimekutana na watu kibao wenye umri mkubwa waliochelewa kuoa na kuolewa na kujionea wanayokutana nayo kwenye mahusiano.

Kwa hiyo siwezi kukwambia nimefanyia wapi tafiti yangu isipokuwa life experience niliyonayo inatosha kabisa kunifanya mimi nije hilo hitimisho kama ukivyo ona hapo
 

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nilitaka kusema the same nikaogopa kushushuliwa[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kwa thread ninazoandika lately i expected this. Siwezi kushangaa mtu kusema hivyo, hata ningekuwa mimi ningemfikiria huyo mtu hivyo. ila trust me naandika makusudi, lately hamna thread za aina hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…