MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Hiyo kujilusha si kigezo ukiwa nazo unajilusha vyovyote uwavyo
 
umepotea best !kila nikiona jina lako nakumbukia mada fulan nilichekka had machozi ya [HASHTAG]#helloo[/HASHTAG] lol ! nimekumiss aisee !
Ndugu yangu nilipata msiba nikasafiri ss huko nilikuwa napitia tu muda wa kuandika comment nikawa sina kwasasa nipo
 
umepotea best !kila nikiona jina lako nakumbukia mada fulan nilichekka had machozi ya [HASHTAG]#helloo[/HASHTAG] lol ! nimekumiss aisee !
Usicheke sana mambo ya maisha ni kazi kama kazi nyingine
 
We should be friends
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…