King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Ila tumehama mada. Hivi si Ulitaka kujua changamoto za kuchelewa kuoa?
Kwangu mie nionavyo (mie paw aliniwahi kabla sijajua kuvuka barabara na kuvuta bhange. Bhange kanifunza mwenyewe ). Umri unavyoenda ndio unavyozidi kufanikiwa. Kwa mahaba ya siku hizi mtu akikuambia ai lavu yuu huwezi kujua anaongea na kazi yako, mavazi, uturi, kidevu, saa ama gari yako. Kwa maana hiyo unaweza ukapishana na upendo wa kweli ukaangukia pua.
Kwangu mie nionavyo (mie paw aliniwahi kabla sijajua kuvuka barabara na kuvuta bhange. Bhange kanifunza mwenyewe ). Umri unavyoenda ndio unavyozidi kufanikiwa. Kwa mahaba ya siku hizi mtu akikuambia ai lavu yuu huwezi kujua anaongea na kazi yako, mavazi, uturi, kidevu, saa ama gari yako. Kwa maana hiyo unaweza ukapishana na upendo wa kweli ukaangukia pua.