Wabongo ni watu ganiukieleweka mtaelewana ttizo wabongo wake kwa waume wote wajuaji.
Kwakweli kilichobaki ni arogwe tu!!Sio kuitwa young lady, baby!
Ila nimeshangaa sana. Akili zote hizo hujapata hata wa kukuloga umuoe bila kupenda? Nakuweka kwenye maombi aisee.
We si ushasema haujaona jipya jamani!!Hamna aliejibu. Una jibu unisaidie?
Ndio atakuja kukusaidia kutunza pension. Umri mzuri kabisa huo.Sasa sinitakuwa na 60!
Nitakufanyia matumizi ya pensheni yako baba wala usijali....Sasa sinitakuwa na 60!
[emoji23][emoji23][emoji23] na kumtunza aumwapo kisukari na preshaNdio atakuja kukusaidia kutunza pension. Umri mzuri kabisa huo.
%kubwa ni walezi wazuri wa familia, wana muda wa kutosha(kazi haiwabani sana) hivyo hata kama kuna vimradi vya kusimamia wanamudu vizuri,hawana semina na safari za kikazi hivyo wana muda na familia, kwakuwa wanakuwa na watoto sana ni wavumilivu, sio wajuaji(nafikiri hii inachangiwa na mazingira ya kazi pia), nk nk nk.Kutoona haina maana kitu hakipo!
Ubarikiwe!Hapa nimekuelewa yameisha
Kiukweli nilihisi limekutoka moyoni japo utani ila mwanaume kuitwa mmbea haipendezi nashukulu kama umetengua kauli.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kumtunza aumwapo kisukari na presha
Inategemea hiyo pipi unaimungunya je ndoa ni jinsi mnavyoishi mkiishi vizuri mtaifurahia mkiishi vibaya hutaifurahia ndoa ni takatifu hivo yapaswa kuiushi kitakatifu na kwa kuchukuluana kimapungufu umri sii kigezo mradi upendo wa kweli na upendo wa kweli chongo huita kengeza ilhali ni chongoUtamu wa ndoa ni kama utamu wa pipi, ni tamu sana pipi inapokuwa mpya ila inapungua utamu kila inavyopata muda wa jukaa mdomoni maana inapungua ukubwa wake, mwisho itaisha na mdomo utabaki na utamu wa mate yake.
Mtu akukwambia ndoa tamu mwanzo mwisho ni muongo mkubwa.
Nipo mama shetan alinipitia tu...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli kabisa.
Long time no see, ulipotelea wapi mama?
Ha ha haaa pole mkuu mana si kwa majina hayaAisee...tushakuwa makapi! Heri yako cream.
Karibu tume kumissMimi apa
Umeongea vizuri apa mana hujabagua safi sanawote ila wanaume zaidi vile mwanamke huwa anasubiri kutongozwa sa bahati inaweza mpita
Nimependa ushauri wako!What doesn't kill you makes you stronger. Usiwaze sana juu ya kesho. Amini mtima wako, angalia furaha yako na ujilipue. Mtazamo wako leo, haukuwa hivi 10 yrs back na miaka 10 ijayo haitakuwa hivi. Umeshaambiwa hakuna anaetaka kuzeeka alone. Angalia quality ambazo miaka 30 ijayo hazitakusumbua.
Was it Maya Angelou aliesema marry someone who makes you laugh? Kwa sababu siku atakayoamua kuacha kukuchekesha you will have to take a hike. Hakunaga formulae za hizi mambo kaka.