MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Habari za jumatatu,

Ni changamoto gani unazipata katika harakati za kutafuta mke kama wewe ni wale waliochelewa kuoa. Kwa mtazamo wa jamii zetu za kiTz mwanaume au mwanamke aliezidi miaka 35 hajaoa au kuolewa ni kuwa amechelewa. Hii sio sheria mwingine anaweza kuwa na mtazamo tofauti.

Mimi binafsi changamoto ninazopata ni hizi;

1.Umri-wanawake wengi kwenye jamii zetu ambao hawajaolewa umri wao ni 22-26. Kwangu mimi bado wadogo yaani tofauti ya umri naiona kubwa.

2.Siko tayari kuoa mwanamke mwenye mtoto-naomba nisieleweke vibaya, huu ni msimamo tu nimeamua hivyo. Changamoto kubwa sasa ni kuwa wale ambao naona ndio umri sahihi wa kuolewa na mimi wengi wao wana mtoto/watoto.

3.Nachagua sana (Naambiwa hivyo inabidi nikubali)-kuoa bila kuchagua inawezekana kweli? Huyu ni mtu nitakaekuwa nae kwa maisha yangu yote sasa inabidi nipate mtu nilieridhika nae.


Tuchangie thread hii kwa lengo la kusaidiana, kurekebisha na kushauri.
umesahau kusema hupendi wanawake wanene na chura
 
Utachambua sana at last utaangukia garasa,hakuna aliyekamili kihivyo even you una mapungufu,mambo mengine utajifunza kuchukuliana na maisha yatakuwa poa tu
 
Utachambua sana at last utaangukia garasa,hakuna aliyekamili kihivyo even you una mapungufu,mambo mengine utajifunza kuchukuliana na maisha yatakuwa poa tu
Negativity yako haitaathiri maisha yangu. Wewe ni nani mpaka uhitimishe nitaangukia garasa? Take your negativity and shove it where the sun doesnt shine.
 
Mbona alishusha vigezo akasema hata kama unacho kimoja uende tu, bado ukadengua!! Umegandana na kina Bonny na Benny tu misheni town hata hmpigi hatua tangu enzi za mfalme herode! Changamka basi hapa naona kumeshakucha.
Tulia mama mbona kama una roho mbaya namna hyo mwanao mwenywe kardhika na maisha haya wewe unataka kitchen party tu hapo upewe vyombo vya uzeen
Heaven Sent hiv upogo aiseee
 
Hapendi waliofanana na Whoopi Goldberg pia mkuu
mimi na huyu ndugu hatuendani kabisa jamani.mimi sio type yake wala yeye sio type yangu. pia mimi sitaki mwanaume tena .nishastaafu
hapendi kabisa .anapenda moderate shape . anachagua kila kitu huyu
hapendi kabisa .anapenda moderate shape . anachagua kila kitu huyu
Kumbe wanene hawapendi eehh?
Hizi ni juhudi za makusudi kuniharibia....
 
Back
Top Bottom