Mjadala: Ni ipi dawa ya kutibu maumivu ya jino bila kung'oa?

Mjadala: Ni ipi dawa ya kutibu maumivu ya jino bila kung'oa?

Jagood,
MKUU hii dawa inapatikana wapi kwa hapa Dar? nahitaji kaka...pia ni jino gani unalizungumzia
jino kuumwa kunasababishwa na mambo mbalimbali kama JINO KUOTA PEMBENI YA FIZI...

YAANI NJE YA UTARATIBU,LAWEZA KUWA GEGO sanna sana,pia jino kuoza linaweza kukuuma,pia jino kutoboka...sasa inatibu yote haya?pia jino kuuma tuuu..
 
dawa ya jino effective ambayo nina uhakika nayo nimchanganyiko wa mdalasini na asali,saga mdalasini upate unga wake kisha changanya na asali,kisha weka sehem husika
 
Uking'oa unakuwa umetibu nini sasa, jino au pengo?
Mkuu mara nyingi meno yanayouma ni yale mabovu yaliyo na mashimo sasa hata ukitumia hayo madawa huwa yanatuliza kwa mda tu baadaye huanza kuuma tena sasa unapolitoa unakuwa umetoa usumbufu wote ingawa utabaki na pengo.
 
Hiki nikiipande tu nilikipata nilivokuwa sehem moja Iringa, kwa hapa Dar sijajua wapi labda ukute mtu kaipanda nyumbani kwake hasa wale wanaopenda kupanda maua majumbani mwao wanaweza kuwa nayo
 
[emoji267]Dawa ya Jino[emoji267]
[emoji263]Chukua dawa hizi zote ziwe za unga tena laini sana [emoji263]
[emoji117]Shabu
[emoji117]Makata nyeupe/ au ya bluu
[emoji891][emoji261]changanya pamoja kipimo sawasawa kisha changanya kwenye mafuta halisi ya karafuu [emoji261][emoji891]
[emoji269]MATUMIZI[emoji269]
Dondoshea tone moja kwenye jino lenye matatizo mara mbili kwasiku kwa muda wa siku 5-7
 
Asante Mkuu., ila shabu au makata meupe ni nini na naweza kuyapata wapi? Nitashukuru nikipata reply
 
Back
Top Bottom