kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,899
Salaam JF,
Nimeleta uzi huu kwenu nikijaribu kupata ushauri kwa wataalamu au watu ambao mlipitia hali hii ya maumivu makali ya meno, je mlitatua vp hali hizo?
Nina mdogo wangu anasumbuliwa sana, yaani mno na maumivu ya meno. Ameshawahi Kung'oa baadhi, na ameshaenda hospital na kutumia dawa kadhaa. Lakini hali hii imekuwa ikijirudia kwake.
Siku mbili zilizopita ameumwa usiku kucha bila kulala kwa maumivu ya jino/gego ambalo kwa nje hata halijatoboka, namuonea huruma kwa jinsi anavyoteseka.
Kwa mwenye kufahamu dawa, daktari, ushauri wa kadhia hii ushauri wenu ni wathamani, kabla ya kufikiria Kung'oa.
Ahsanteni
Nimeleta uzi huu kwenu nikijaribu kupata ushauri kwa wataalamu au watu ambao mlipitia hali hii ya maumivu makali ya meno, je mlitatua vp hali hizo?
Nina mdogo wangu anasumbuliwa sana, yaani mno na maumivu ya meno. Ameshawahi Kung'oa baadhi, na ameshaenda hospital na kutumia dawa kadhaa. Lakini hali hii imekuwa ikijirudia kwake.
Siku mbili zilizopita ameumwa usiku kucha bila kulala kwa maumivu ya jino/gego ambalo kwa nje hata halijatoboka, namuonea huruma kwa jinsi anavyoteseka.
Kwa mwenye kufahamu dawa, daktari, ushauri wa kadhia hii ushauri wenu ni wathamani, kabla ya kufikiria Kung'oa.
Ahsanteni