Mimi nimetoa jino jana Kinondoni Hospital,huduma niliopewa pale ni ya kiwango cha juu,sijasikia maumivu hata kidogo,na dr aliniambia nikisikia maumivu niseme.
Kabla ya jana kutoa,nimetoa jino mara mbili Hospital Sinza Palestina, maumivu niliopata nilisema siwezi tena kutoa jino,kuna jino likawa linasumbua tena, nikaenda mbagara kutoa, nako nilipata maumivu wakati wa kutoa, nikasema sitoi tena,ila likajitokeza jino kama miaka mwaka mmoja uliopita, nikawa nasitasita nikifikilia Maumivu ya Koleo, ila jana nilivyoenda kinondoni, Dr akaniambia kiutaratibu mgonjwa hatakiwi kusikia maumivu, nikaona Uongo.
Ila nashukuru katoa bila maumivu yoyote