Mjadala: Ni ipi dawa ya kutibu maumivu ya jino bila kung'oa?

Nimetumia dawa ya meno ya Aloe maumivu yakaondoka kwa muda. Vipi mkuu unanishauri niendelee kutumia au?
 
Mimi meno huwa yananiuma Sana yani sio moja Wala mawili nikisema nikang'oe basi nitabaki nitabaki kibogoyo

Sasa nilishauriwa nikiswaki niwe natumia dawa ya new Angola au Colgate
Ndio nazotumia mpka leo na meno yameacha kuniuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…