Man Ngosha,
Watafute forever products, wana dawa ya kusukutulia meno inauzwa 13,000/- ukitumia hiyo, jina lako itakuwa historia. Kwani uko wapi tukuunganishe na hao jamaa?
Kama uko mwanza, duka lao ni moja tu, lipo PPF gorofa ya tano karibu na mzunguko wa samaki.