Mjadala: Ni jambo gani kwenye Maisha yako lilichelewa sana? Ila sasa unaona kawaida sana

Nilitamani sana kusafiri nje ya mkoa niliokulia, Ipo siku nilimwambia B mkubwa kuwa natamani kusafiri nje ya mkoa huo, akaniambia "mwanangu ukiwa mkubwa na hela zako, usafiri popote utakapo, subiri uwe mkubwa Mungu akusaidie upate hela" kauli hii ilinipa hali na matumain makubwa mno, anyway nimeshakuwa mkubwa na sio nje ya mkoa ule tu, mpaka nje ya mipaka ya nchi nishatoa.

Sijawahi kutamani Nyumba, gari wala familia, lkn namshukuru Mungu sana hapo sina gari tu.

Mungu ni mwema.
 
Brilliant!!
 
M naona nilichelewa sana kuwa na mama hadi saa ivi sina mama yangu but yupo hai anaishi
 
Itakuwa tu mkuu.

Nakumbuka nilikuwa naenda kupokea wageni pale KIA, naishia kuiona KLM au Ethiopian na Qatar Airways! by that time najisemea tu, Nitakwea na mimi.

Sasa hivi naona kawaida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…