Mjadala: Ni jambo gani kwenye Maisha yako lilichelewa sana? Ila sasa unaona kawaida sana

Mjadala: Ni jambo gani kwenye Maisha yako lilichelewa sana? Ila sasa unaona kawaida sana

Naomba Mungu anisaidie maana natamani sana niwe na

1. homestead yangu yenye ekari 500 humo niwe nina ng'ombe wengi, mbuzi wengi, kuki wa kienyeji, kondoo, na familia yangu iishi humo humo.

2. Nipande ndege niende nje ya mipaka ya nchi hii.

3. Nipate kazi nzuri zaidi ya hii niliyonayo sasa hivi.
Kila la heri Mkuu
 
Back
Top Bottom