kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
- Thread starter
- #141
Kila la heri MkuuNaomba Mungu anisaidie maana natamani sana niwe na
1. homestead yangu yenye ekari 500 humo niwe nina ng'ombe wengi, mbuzi wengi, kuki wa kienyeji, kondoo, na familia yangu iishi humo humo.
2. Nipande ndege niende nje ya mipaka ya nchi hii.
3. Nipate kazi nzuri zaidi ya hii niliyonayo sasa hivi.