Muda mrefu ni upi?
Kwa watu ninaowafahamu, kesi zao za bima zilichukua 2 weeks na bima ikawafanyia matengenezo.
Kampuni ninayokata bima, mmiliki namfahamu personally. Nikipata shida, nampigia anaharakisha mchakato.
Nafahamu kesi nyingine canter iligonga gari tena mpya zile za kuchana makaratasi.
Mwenye kenta alikuwa na third party. Kesi ikaenda mahakamani na ndani ya week hukumu ikatoka.
Gari ikapelekwa kwa dealer, mzigo ukabadilishwa kila kitu kibovu.
Ni zoezi kama la week 2 tu.
Ndo maana nasema, hizi kampuni za bima zinaondoka na hela nyingi sana kwa wateja wao wanavyomalizana kienyeji barabarani.
Kuhusu suala la tanroads sijawahi kukutana nalo.