Ok, asante kwa maelezoPolicy ya third party inalipa mtu mmoja yule uliyemgonga wakati comprehensive inalipa watu wote wawili aliyegonga na aliyegongwa
Kuwa na gari bila bima ni kosa kisheria ambapo ukibananishwa polisi/mahakamani ni ishu ingine
[emoji3][emoji3] inachekesha lakini inauma,yaani ukiwa na gari nchi hii ni kama wanakufanya mtaji hivi,yaani kumwaga oil tu mil 3,hapo lazima utaacha gari tuAisee mimi sikugonga wala kugongwa ila gari yetu iligonga nguzo barabarani.
Aisee mziki wa kule police sio wa mchezo ila shughuli iko zaidi TANROADS kama ukiwa umeharibu miundombinu yao na watu wengi hawajui hili,yaani pesa utakayotajiwa unaweza ukazimia.
Nilikuta magari pale Tanroads jamaa wameyatelekeza baada ya kushindwa kulipa uharibifu walioufanya kwny miundombinu kwny ajali mbalimbali.
Nina mfano hapa ila hauna uhusiano na ajali,Kuna jamaa wa Fuso yeye alipata Breakdown highway akamwaga oil barabarani aliambiwa alipe Tsh. 3mil kwa uharibifu wa lami.
So wkt ajali inatokea muwe mnaomba kusiwe na uharibifu umetokea kwny miundombinu ya Tanroads.,hakika utalichukia gari lako na kujuta nani alikutuma ulinunue.
Hahah aiseee nilishangaa sana mkuu,yaani hata ukimwaga yale maji ya kwny rejeta barabarani jamaa hawakuachi una bonge la fine ambalo hukuwahi kulifikiria.[emoji3][emoji3] inachekesha lakini inauma,yaani ukiwa na gari nchi hii ni kama wanakufanya mtaji hivi,yaani kumwaga oil tu mil 3,hapo lazima utaacha gari tu
Mara nyingi wewe unaona umemkwaruza kidogo tu ila madhara yake ni kupiga rangi panel nzima(mlango,bumper,fender) ili kuepusha rangi kupishana. Rangi nyingine inabidi ipigwe upande mzima. Matokeo yake gharama inakuw kubwa wakati umemkwaruza sehemu ndogo tuKuna jamaa yangu aligongwa na daladala, mwanzo mhusika alikubali kutengeneza.
Mara nyingi wewe unaona umemkwaruza kidogo tu ila madhara yake ni kupiga rangi panel nzima(mlango,bumper,fender) ili kuepusha rangi kupishana. Rangi nyingine inabidi ipigwe upande mzima. Matokeo yake gharama inakuw kubwa wakati umemkwaruza sehemu ndogo tu
Ni kweli wengine wanaona ndio pa kutokea!Nafahamu ila kuna wengine hufanya kukomoa tu!
Mkuu hii sijajua kama huo ushahidi wa picha likiwa linakimbia ni sufficient.Hivi Kama gari imekugonga ukiwa kwenye gari lingine na aliyekugonga kakimbia ila umepiga picha plate namba yake unawezaje kumkamata. Hii hutokea sana usiku ambapo mtu anakugonga Kisha anakimbia
Nashika namba za hiyo gari ilionigonga.Maelezo mazuri, tuchukulie kagonga gari yako yako mkiwa Highway,halafu akaamua kuondoka inakuaje hapo?
Mtu amepasua taa zako kununua zote mbili unaambiwa 300k. Plus ufundi wa kurekebisha hapa na pale.Mkuu ni sahihi kabisa umeelezea vyema.
Ila kumalizana mara nyingi kuna save time na usumbufu wa kufuatilia.
Ili bimayake ilipe (wewe ni third party) inabidi kuwe na court judgement(maamuzi ya mahakama kusema who was at fault. Hii ni document ambayo ni lazima kuwa nayo ili ulipwe na bima.
Ili kuipata hii inabidi usubiri si chini ua mwezi mmoja kwa mahakama zetu hizi.
Sasa mwezi mzima hutumii gari yako plus kwenda mahakamani au kumuuliza askari mwenye hilo jalada ni usumbufu sana pia wanaomba sana hela ya maji mkuu.
Watu wanamalizana sio kwamba hawataki kufuata process ila time.
Kama una bima kubwa si italipwa?Aisee mimi sikugonga wala kugongwa ila gari yetu iligonga nguzo barabarani.
Aisee mziki wa kule police sio wa mchezo ila shughuli iko zaidi TANROADS kama ukiwa umeharibu miundombinu yao na watu wengi hawajui hili,yaani pesa utakayotajiwa unaweza ukazimia.
Nilikuta magari pale Tanroads jamaa wameyatelekeza baada ya kushindwa kulipa uharibifu walioufanya kwny miundombinu kwny ajali mbalimbali.
Nina mfano hapa ila hauna uhusiano na ajali,Kuna jamaa wa Fuso yeye alipata Breakdown highway akamwaga oil barabarani aliambiwa alipe Tsh. 3mil kwa uharibifu wa lami.
So wkt ajali inatokea muwe mnaomba kusiwe na uharibifu umetokea kwny miundombinu ya Tanroads.,hakika utalichukia gari lako na kujuta nani alikutuma ulinunue.
Kama una bima kubwa si italipwa?
Yes italipwa(vigezo na masharti kuzingatiwa) ila inachukua muda mrefu sana,maana kuna magari mengi sana niliyakuta pale yakisubiri case zao za insurance kua settled.Kama una bima kubwa si italipwa?
Wanalipa ila kwa mbinde sana,kuna washkaji wengine ilikua inabidi watumie wanasheria wao binafsi kwenda kupambana na hizo Co. za insurance khs malipo hayo.Sidhan kama inacover uharibifu wa barabara
Muda mrefu ni upi?Yes italipwa(vigezo na masharti kuzingatiwa) ila inachukua muda mrefu sana,maana kuna magari mengi sana niliyakuta pale yakisubiri case zao za insurance kua settled.
Naongelea suala la pesa ya bima kwny miundombinu ya serikali iliyoharibika kwa sababu ya ajali iliyosababishwa na gari husika.Muda mrefu ni upi?
Kwa watu ninaowafahamu, kesi zao za bima zilichukua 2 weeks na bima ikawafanyia matengenezo.
Kampuni ninayokata bima, mmiliki namfahamu personally. Nikipata shida, nampigia anaharakisha mchakato.
Nafahamu kesi nyingine canter iligonga gari tena mpya zile za kuchana makaratasi.
Mwenye kenta alikuwa na third party. Kesi ikaenda mahakamani na ndani ya week hukumu ikatoka.
Gari ikapelekwa kwa dealer, mzigo ukabadilishwa kila kitu kibovu.
Ni zoezi kama la week 2 tu.
Ndo maana nasema, hizi kampuni za bima zinaondoka na hela nyingi sana kwa wateja wao wanavyomalizana kienyeji barabarani.
Kuhusu suala la tanroads sijawahi kukutana nalo.
Najua.Naongelea suala la pesa ya bima kwny miundombinu ya serikali iliyoharibika kwa sababu ya ajali iliyosababishwa na gari husika.
Sijaongelea Pesa ya bima kwny ajali ya gari kwa gari.