Mjadala; Nini cha kufanya gari yako ikigongwa au kugonga?

Aisee kumbe ukikwaruza unaweza kuosha pakangaaa kabisa??
 
Safi sana huu ndo ubinadamu

Sasa kuna mtu atauliza unalipa bima ina kazi gani?
Kuna kitu kinaitwa EXCESS kwenye bima. Hiki ni kiwango wewe unachangia kwenye matengenezo iwapo gari yako itapata ajali. Kwa Mimi ni around 300,000. Sasa ukipata ajali gharama zikawa 1m bima watatoa 700,000 na wewe 300,000. Sasa iwapo gharama za matengenezo ni chini ya 300,000 bima haitatoa chochote utalipa wewe mwenyewe. Hii ndio sababu viajali vidogovidogo mtu anakukomalia kwasababu bima haitamlipa. Hapa nazungumzia bima kubwa
 
jeuri ndugu yake kusudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…