Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Ahsante ndugu yangu nifanye hivyo
 
Ahsante
 
Kuna wadada wataalamu wa kukariri mashine za watu kama ulishapita nao na wapo humu wanaweza jua wewe ni nani🤣🤣🤣 (jokes tu mkuu)… nenda hospitali mkuu ndio utapata msaada wa haraka
 
Scars nae ana tatizo kama hili ila yeye ni huku pa kunyea, sasa na yeye aweke picha tumshauri.
 
Unaendeleaje!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Anamke, na yeye anatumiaje?
 
Ee Bwana unasemeh kwa kuona uchi huu maana ni utupu ni machukizo kwa Bwana
 
Mkuu ifike wakati tuache kushauri vitu ambavyo sio field yetu. Kwa ulichoandika hapa nina uhakika 100% hauko kwenye field ya medical.
Clotrimazole and whitefield zote ni antifungal
Hydrocortisone ni antihistamine and anti inflammatory
Ni kwa vipi hizo dawa ziko associated na dalili ya ugonjwa unaonekana kwenye pic hapo.
Please let us respect other's professional tuachane na taarifa za mtaani
This guy need serious treatment sasa wewe unakuja na hadithi za namna hii
Utamchelewesha kupata tiba sahihi
 
Kuna mdada atakuja kuisifia hiyo mb0...[emoji1787]
Ila pole sana mkuu, una unaroho ngumu sana kwa kutufungulia mwaka 2022..[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tumia vitunguu swaumu meza vipande 6 asubuhi na jion na maji mengi.au meza vidonge vya mchafuko wa damu
Unataka kumuua?
Home walidangwa na watu wa miti shamba wameze kipande kimoja mara tatu..
Yaliyowapata hawarudii
 
New client

PDX Syphilis Tertiary Phase

Ningekupata, hayo matrakoo yangeihadithia dunia jinsi sindano inavyouma

Nenda hospital
 
Mkuu ifike wakati tuache kushauri vitu ambavyo sio field yetu. Kwa ulichoandika hapa nina uhakika 100% hauko kwenye field ya medical.
Clotrimazole and whitefield zote ni antifungal...
ndugu elimu ni pana zaidi unafikiri umeimaliza,matibabu ni mapana zaidi ya hapo ulipoishia jipe muda kapitie other indications of corticosteroids lakini pia effectiveness of some ant fungal zinapokuwa concominant all in all wewe unajita mtaalum wa afya vp kuhusu walio mashauri kuhusu vitunguu swaumu achanganye na malimao je drug interaction yake na ni ipi posbo side ifect ni zp,mwisho napenda umpe accurate cure ya shida ya mleta maada,ndo la maana mengine hayo uliyo nayo jua umakalili tu hujailewa afya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…