Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Pole sana hilo tatizo linaitwa genital herps lina sababishwa na kukutana kingono bila kondom au kushika majimaji ya mtu mwenye tatizo kama hilo kwa kukushauri nenda kwa madaktari wangozi watakusaidia ila nitatizo ambalo unaweza kuambukiza watu wengine kupitia njia nilizo zitaja hivyo epuka ila kwa sasa tafuta tube moja inaitwa aciclovir cream.
Ahsante kwa ushauri
 
Pole sana hilo tatizo linaitwa genital herps lina sababishwa na kukutana kingono bila kondom au kushika majimaji ya mtu mwenye tatizo kama hilo kwa kukushauri nenda kwa madaktari wangozi watakusaidia ila nitatizo ambalo unaweza kuambukiza watu wengine kupitia njia nilizo zitaja hivyo epuka ila kwa sasa tafuta tube moja inaitwa aciclovir cream.
Upo sahii..akifata huu ushauri atakuwa sawa
 
Hahah !! Kuuguaa acheni kabisaa!! ...unaweza kufanya vilivo visivo !... nampongeza kiongoz kwa kuonesha eneo la tukio [emoji23][emoji23]
 
Kuna mdada atakuja kuisifia hiyo mb0...[emoji1787]
Ila pole sana mkuu, ina unaroho ngumu sana kwa kutufungulia mwaka 2022..[emoji23]
Mh mjumbe, hapo inatakiwa asione aibu kuhusu hili tatizo.

Ikiharibika atafyatua kwa kutumia nini!?
 
da! pole mkuu,ushauri kama huna syphlis second chancre basi nashauri kama onana na docta hasa hawa wa maduka ya dawa binafsi mwambie akuchome hydrocotisone injection 200mg bd ndani ya siku tatu na upake clotrimazole cream uichanganye na whitfield field pamoja ndo upake mara mbili kutwa then utatupa mrejesho.nimeshauri hivyo kuhusu duka la dawa sababu hospital hawakubali uwape ushaur watakuambia usiwafundishe kazi hivyo kwenye duka la dawa wapo wanaojiwa kuinject sindano watakusaidia kwa hilo
 
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 30, nasumbuliwa na tatizo la kuvimba uume, hali hiyo hutokea.ninapojamiina na mke wangu, tumepima magojwa ya ngono hakuna

U .T .I hakuna, lakini DCT ameshauri kutumia dawa za INFECTION, hata hivyo kuna vipele ambavyo hutokea juu ya kichwa cha uume na utunga kama usaha lakini sio usaha na kuanza kutoa drops kama rangi ya Bia na hayo maji hayana harufu.

Uume unakuwa legelege kama umekufa ganzi (haufanyi kazi ) tumbo lina unguruma na mgongo unauma kiuno kinauma .

NAOMBA USHAULI KWA WATAALAMU WA AFYA.
NIFANYE NINI , AU NIKAPIME KITU GANI , AU NASUMBULIWA NA KITU GANI?
View attachment 2073307
Pole sana mkuu.

Naunga na Babu sea hii ni Genital herpes ambayo inasababishwa na Herpes Simplex Virus(HSV) na kuenezwa kwa njia ya kujamiana.

Dalili zake ni kuhisi maumivu, kuwashwa, kutokwa na viupele kwenye kengele.

Tafuta dawa inaitwa Acyclovir cream(nimeambatanisha picha), utatumia kwa kupaka kwenye sehemu iliyoathirika mara 3 hadi 5 kwa siku, utumie kwa siku 5.

Usipoona mabadiliko ongeza siku zingine 5 zifike jumla 10.

Siku 10 zikitimia halafu ngoma bado inagoma kutiki, kamuone Daktari.
hqdefault.jpg
IMG_20220108_152531_773~2.jpg
 
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 30, nasumbuliwa na tatizo la kuvimba uume, hali hiyo hutokea.ninapojamiina na mke wangu, tumepima magojwa ya ngono hakuna

U .T .I hakuna, lakini DCT ameshauri kutumia dawa za INFECTION, hata hivyo kuna vipele ambavyo hutokea juu ya kichwa cha uume na utunga kama usaha lakini sio usaha na kuanza kutoa drops kama rangi ya Bia na hayo maji hayana harufu.

Uume unakuwa legelege kama umekufa ganzi (haufanyi kazi ) tumbo lina unguruma na mgongo unauma kiuno kinauma .

NAOMBA USHAULI KWA WATAALAMU WA AFYA.
NIFANYE NINI , AU NIKAPIME KITU GANI , AU NASUMBULIWA NA KITU GANI?
View attachment 2073307
Paka triomazin tube
 
Back
Top Bottom