Wengi wa mwanzo wamekosea kwasababu hawafati kanuni za uandishi wa Namba ila wanafata mazoeya ya utamkaji wa namba.
Ukipewa 10,000 ukisema ni Elfu kumi hapa umekosea.
Namba inatakiwa uisome kwanza ndo utoe thamani yake.(wenzetu Wa kingereza hili wamelizingatia sana hivyo hakuna hizi changamoto katika usomaji kwa upande wa English)
Baada ya group la namba tatu za mwanzo, Namba zinazofatiwa zinadhamani ya ELFU(thousand) Hivyo Unatakiwa uzisome kwanza namba ndo umalizie na neno Elfu Siyo unaanza elfu ndo unasoma namba hapa utakuwa umekosea.
Mfano 10,001 tutaanza kusema kumi Elfu sio Elfu kumi. Hata 27,007 tutaanza kusema Ishirini na saba elfu na sio elfu ishirini na saba.
Sasa namba ulizotoa zinasomeka kama ifuatavyo
20,007=(ISHIRINI ELFU NA SABA)/ AU (ISHIRINI NA SABA ELFU SABA)
na
27,000= (ISHIRINI NA SABA ELFU)
kwa utaratibu huo utaweza pia kusesoma namba kwa utofauti kama namba 10,000 na 11,000.