Naam wakuu,
Mjadala kuhusu elimu na mustakabali wa Taifa unaendelea sasa hivi katika ukumbi wa Nkhrumah. Vile vile uko live ITV na radio one. Tufuatulie
kwa njinsi nlivyo na hasira hata nikiangalia nadhan naweza lia n bora nsubili kuadithiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam wakuu,
Mjadala kuhusu elimu na mustakabali wa Taifa unaendelea sasa hivi katika ukumbi wa Nkhrumah. Vile vile uko live ITV na radio one. Tufuatulie
nimesikia serikali ina mpango wa kupunguza pass mark ya kwenda kidato cha tano kutoka div 1-3,na badala yake sasa hivi mpaka div 4 wenye div 4 ya pts 26-29 wanaweza kupata nafasi ya kidato cha tano.
uchangiaji wanaendelea.
wakuu nitoka nje kidogo. kila la heri wafuatiliaji
ni kweli mjadala mzuri kweli,me naufatilia kupitia simu yangu ya tochi tangu unaanza