Mjadala wa katiba mpya ITV; Mnyika, Tambwe Hizza na Dr. Mvungi

Mjadala wa katiba mpya ITV; Mnyika, Tambwe Hizza na Dr. Mvungi

Huyu tambwe hiza vp kaa kimya dr mvungi amwage sera huyu tambwe anakera hebu mtoeni nje'
 
Bogas Tambwe na mambo ya Lancaster. Anabishana na Mvungi. Kweli jamaa full propaganda
 
Tambwe hana upevu juu ya issue nzito kama katiba, simuelewi kwa chochote cha maana aongeacho.
 
Jamani huyu Tambwe Hiza ni hamnazo yani anabishana na Dr. Mvungi kwa kusema watanzania walikwenda lancaster kwenye mjadala wa kikatiba wakati walikua Anatoglo hapahapa dar.
 
Naomba ccm kiitwe chama cha walopokaji ina maana tambwe hiza anapingana na bosi wake
 
ebo!! jamani vipitena? yaani nimesoma post zote 24 za hii thread zinamhusu tambwe lol!1 mpotezeeni jamani tupeni yale yanayojiri huko

Umeshtuka eh? Nimejitahudi kuchek kinachoendelea huko natoka kapa
 
Tambwe jamani ana upeo mdogo wa historia ya nchi hii. Nyerere hakwenda lancaster house. Ni mugabe na wenzake. Nyerere ni karimjee hall dar. Katoka ndani kabebwa juu kwa juu na mama yake akiwa sambamba. Tambwe hauko hapo kutetea ugoro.upo hapo kujadili katiba kulingana na wakati tuliopo
 
Bogas Tambwe na mambo ya Lancaster. Anabishana na Mvungi. Kweli jamaa full propaganda
 
Tambwe anashangaa makamera. Huyu jamaa anatoa data sumu. Anyway you become what you it.
 
Jamani kweli ccm ipo ICU. Yaani suala nyeti la katiba wanawakilishwa na mlopokaji!! Kwa nini wasimweke hata wilson mukama?? Hivi unene huwa unaathiri akili??? Wanasayani watujuze tafadhali.
Akili mejaa mafuta mimi asema...
 
Tambwe jamani ana upeo mdogo wa historia ya nchi hii. Nyerere hakwenda lancaster house. Ni mugabe na wenzake. Nyerere ni karimjee hall dar. Katoka ndani kabebwa juu kwa juu na mama yake akiwa sambamba. Tambwe hauko hapo kutetea ugoro.upo hapo kujadili katiba kulingana na wakati tuliopo

hakujiandaa kabisa kakurupushwa kwenye pombe za jioni
 
Back
Top Bottom