Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Kama tulivyoahidi wiki iliyopita, elimu ya ulazima wa Katiba mpya kwa Watanzania itatolewa kupitia mjadala huu hapo kesho kuanzia saa 1 na dk 3O asubuhi katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI.
WanaJF Micahngo na mawazo yenu yanakaribishwa na hatutasita kuyatumia kwa manufaa ya umma kama ambavyo tumekuwa tukifanya.
Natanguliza shukrani zangu kwa ushiriki makini na wa kipekee wiki iliyopita
Yahya M
Kwani katiba ya sasa haitoshi?
Ingekuwa vizuri akaleta mjadala wa kuleta maendeleo Tanzania
Hilo ni sehemu ya swali kwa wageni wangu, ahsante kwa mawazo. Mjadala upo pale pale mkubwa kama kwako hauna manufaa wengine inawanyima usingizi.
Yahya,Kama tulivyoahidi wiki iliyopita, elimu ya ulazima wa Katiba mpya kwa Watanzania itatolewa kupitia mjadala huu hapo kesho kuanzia saa 1 na dk 3O asubuhi katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI.
WanaJF Micahngo na mawazo yenu yanakaribishwa na hatutasita kuyatumia kwa manufaa ya umma kama ambavyo tumekuwa tukifanya.
Natanguliza shukrani zangu kwa ushiriki makini na wa kipekee wiki iliyopita
Yahya M
Yahya,
Natumaini umesoma mapendekezo yetu hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ent-needed-mabadiliko-ya-katiba-uzalendo.html
Na pia umepitia mawazo yetu mengi sana juu ya katiba ya sasa jinsi ilivyo na tunavyopendekeza iwe hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ania-ilivyo-na-mapendekezo-ya-mabadiliko.html
Aidha, nawatakia kila la heri kipindi hicho cha kesho, ukisoma nondo hizo nilizokupa hutouliza maswali kama watangazaji wa TBC1 bali kama mwananchi pia, yani uwe sehemu ya wananchi usiwe sehemu ya watawala!
Kwani katiba ya sasa haitoshi?
Ingekuwa vizuri akaleta mjadala wa kuleta maendeleo Tanzania
Hilo ni sehemu ya swali kwa wageni wangu, ahsante kwa mawazo. Mjadala upo pale pale mkubwa kama kwako hauna manufaa wengine inawanyima usingizi.
Asante sana Yahya kwa nafasi nyingine. Hakika Star Tv mnastahili pongezi. Wapo watu wananufaika na katiba hii mbovu ya sasa. Kwamba katiba ya sasa iliandikwa wakati wa Chama kimoja ni kasoro kubwa inayotufanya tufikirie katiba mpya.Tafadhali sana jitahidi kualika watu ambao kwa kweli wanaelewa kwa mapana na marefu mapungufu ya katiba yetu. Si kila mwanasiasa au mwanaharakati anajua mapungufu yaliyopo. Pia waambie mtakao waalika hatutaki kuona malumbano na jazba zisizo na maana, tunataka nguvu ya hoja na si vinginevyo. Kila la heri Star Tv
mijadala yote ya kuwakwamua kiuchumi ndo itaanza na katiba,watanzania vijijini wanakufa kwa njaa toa mijadala ya kuwakwamua kiuchumi
watanzania vijijini wanakufa kwa njaa toa mijadala ya kuwakwamua kiuchumi
hauna akili!!!
mijadala yote ya kuwakwamua kiuchumi ndo itaanza na katiba,