Wewe Kananihii ulale acha mjadala wa wakubwa.....Kwanini huona kuwa hata kwa katiba yetu ya sasa watu wamekwamuliwa chini ya ccm??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Kananihii ulale acha mjadala wa wakubwa.....Kwanini huona kuwa hata kwa katiba yetu ya sasa watu wamekwamuliwa chini ya ccm??
Kama tulivyoahidi wiki iliyopita, elimu ya ulazima wa Katiba mpya kwa Watanzania itatolewa kupitia mjadala huu hapo kesho kuanzia saa 1 na dk 3O asubuhi katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI.
WanaJF Micahngo na mawazo yenu yanakaribishwa na hatutasita kuyatumia kwa manufaa ya umma kama ambavyo tumekuwa tukifanya.
Natanguliza shukrani zangu kwa ushiriki makini na wa kipekee wiki iliyopita
Yahya M
mnh! Wapi , Umeitwa!nitahuzuria na suti langu jipya.
watanzania vijijini wanakufa kwa njaa toa mijadala ya kuwakwamua kiuchumi
Yahya mimi ningefurahi sana kama mngekuwa mna-link hiyo mijadala hata kwenye RFA maana watu wengi watz wanasikiliza RFA maana hawana TV, kuna mjadala fulani mliuweka kwenye tv na redio. Ulikuwa ule mjadala wa fedha za majimboni kwa wabunge. Mimi nilikuwa kijijiniambako hakuna tv, infact hata mother ambaye yuko kule kasulu kijijini alisikiliza na alifurahi sana. Hivyo ninapendekeza mjadala huu muhimu uwe pia kwenye redio ili hata huko ambako hawana tv wasikilize. Nitafurahi sana kama mchango huu utasikilizwa.Waiting for your call brother, last week it was worth of salt despite some few technical problem with connection, but I appreciate.
Thank you in advance
Na mimi napata shida sana asubuhi kuwahi kipindi hikiand this time is not perfect at all washauri wenzako na management muanzishe tuongee mchana au hata jioni this time especiall sundays watu wamepumzika au wengine wako church, na baadhi wamelala because of previous day hangovers
Kwani katiba ya sasa haitoshi?
Ingekuwa vizuri akaleta mjadala wa kuleta maendeleo Tanzania
watanzania vijijini wanakufa kwa njaa toa mijadala ya kuwakwamua kiuchumi
Wa sasa umezidi angalia bei ya mafuta angalia bei ya sembe, angalia bei ya saruji.
Umesikia kwa Gadafi hapo bei ya petroli ni Tsh.250/kwa lt bongo hapa dah uongozi umeoza huu
QUOTE=JEYKEYWAUKWELI;Mfumuko wa bei ulikuwepo tokea awamu ya kwanza.
Pia katiba hii ipo toka awamu ya kwanza!
Kasome uelewe katiba maana yake ni nini? na ina manufaa gani kwa mtanzania. Nina imani kama uelewa wako ni mzuri utapenda hiyo katiba ije sasa hivi na siyo kuijadili maana ni suala lililowazi. Lakini kuijadili ni sehemu ya elimu ili watu wapate kujua umuhimu wake nawe ukijumuishwa. Kama utakuwa na uwezo wa kutunza kumbukumbu kwa hapo utakapo kuwa na ufahamu utakiri kuwa ni kutokana na mfumo mbovu wa utawala ulioletwa kwa kuwa na katiba mbovu ndiyo maana kuna njaa vijijini.
sio kila mtu anaona kama unavo ona wewe!
akili yako imekamatwa na haiko huru kwa hiyo kila kitu kwako ndani ya katiba ya sasa ni "vema"
Atleast TUMIA AKILI SIKU MOJA MOJA BASI
baada ya kupata katiba mpya tutajadili maendeleo Tanzania. sasa hatuwezi kujadili maendeleo na madowans,maiptl,maf is Adi kibao...mpaka tuyanyonyoe manyoya maf is Adi ndo tunaweza kuendelea.
kama huna uwezo wa kujadili katiba tulia tuli mpaka tukiipata tutakuamsha tujadili pamoja maendeleo ya nchi hii.
Wewe Kananihii ulale acha mjadala wa wakubwa.....
wewe unaonekana ni mgeni au ni mbishi tu au ni pretender blind, watu kama ninyi hamtakiwi katika jamii hii ya sasa, je kuna kuna nani asiyejua kuwa watanzania wanahitaji katiba?? ninyi ndio wasomi then mnaakiti kiasi hicho je walio vijijini wafanye nini? unataka hadi mleta ,maada umvunje moyo? ndio maana tunasema waafrika tuna mioyo migumu na mibaya sana maana tunaona hali halisi lakini tumejaa unafiki zaidi ya vitendo. kila siku watu wanaongelea swala la katiba hata humu kuna mada kibao sana na watu wakitafuta intermediate kwa ppetition ,then watu wanajitolea na kuanzisha mada very sensitive to our nation badala ya kuwa-encourage na kuwa-support mnaanza kuwa jibu majibu ya kitoto.Be a great thinker before u crap
kwani Hujui Yahya ni mwandishi tuu wa habari??? Yeye anaalika watu waongee.. kazi yake kutayarisha maswali tuuu sasa unapayuka yasikuhusu... Big Up Yahya yaani hata siamini kama hii TV ya mzee Diallo inatumika kwa manufaa ya wananchi wa TZ kiasi hiki...
sababu kuu ya wao kufa kwa njaa ni katiba mbovu inayotumika kusimamia misingi ya utawala wa nchi. Katiba ya sasa haiwapi wananchi fursa ya kuhoji kwani nini wanakufa njaa ili hali tanzania ni nchi yenye mali nyingi. Tunataka katiba itakayowapi fursa ya kuhoji mambo mbalimbali ya msingi na kuweka utawala wenye masilahi kwa wananchi.
<br />Mfumuko wa bei ulikuwepo tokea awamu ya kwanza