Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
Wanakufa kwa njaa kwa kukosa uongozi bora.
Uongozi wa kubebana ndo umetufanya tufike hapa tulipo angalia sasa mfumuko wa bei.
Mfumuko wa bei ulikuwepo tokea awamu ya kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakufa kwa njaa kwa kukosa uongozi bora.
Uongozi wa kubebana ndo umetufanya tufike hapa tulipo angalia sasa mfumuko wa bei.
Mbona habari roborobo? Taja wageni waalikwa tafadhali.
Mfumuko wa bei ulikuwepo tokea awamu ya kwanza
mimi sijaona,na nina imani wewe pia hujaona ndo maana ukasema "WATANZANIA VIJIJINI WANAKUFA KWA NJAA"-kwa wachache walionufaika ni wale walio ndani ya chamaKwanini huona kuwa hata kwa katiba yetu ya sasa watu wamekwamuliwa chini ya ccm??
watanzania vijijini wanakufa kwa njaa toa mijadala ya kuwakwamua kiuchumi
kama tulivyoahidi wiki iliyopita, elimu ya ulazima wa katiba mpya kwa watanzania itatolewa kupitia mjadala huu hapo kesho kuanzia saa 1 na dk 3o asubuhi katika kipindi cha tuongee asubuhi.
Wanajf micahngo na mawazo yenu yanakaribishwa na hatutasita kuyatumia kwa manufaa ya umma kama ambavyo tumekuwa tukifanya.
Natanguliza shukrani zangu kwa ushiriki makini na wa kipekee wiki iliyopita
yahya m
Kama tulivyoahidi wiki iliyopita, elimu ya ulazima wa Katiba mpya kwa Watanzania itatolewa kupitia mjadala huu hapo kesho kuanzia saa 1 na dk 3O asubuhi katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI.
WanaJF Micahngo na mawazo yenu yanakaribishwa na hatutasita kuyatumia kwa manufaa ya umma kama ambavyo tumekuwa tukifanya.
Natanguliza shukrani zangu kwa ushiriki makini na wa kipekee wiki iliyopita
Yahya M
Kama tulivyoahidi wiki iliyopita, elimu ya ulazima wa Katiba mpya kwa Watanzania itatolewa kupitia mjadala huu hapo kesho kuanzia saa 1 na dk 3O asubuhi katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI.
WanaJF Micahngo na mawazo yenu yanakaribishwa na hatutasita kuyatumia kwa manufaa ya umma kama ambavyo tumekuwa tukifanya.
Natanguliza shukrani zangu kwa ushiriki makini na wa kipekee wiki iliyopita
Yahya M
Tazama post ya wiki iliyopita...Huu ni mwendelezo wa last week kama hukupata that means archieve hapa JF iondolewe
Kama tulivyoahidi wiki iliyopita, elimu ya ulazima wa Katiba mpya kwa Watanzania itatolewa kupitia mjadala huu hapo kesho kuanzia saa 1 na dk 3O asubuhi katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI.
WanaJF Micahngo na mawazo yenu yanakaribishwa na hatutasita kuyatumia kwa manufaa ya umma kama ambavyo tumekuwa tukifanya.
Natanguliza shukrani zangu kwa ushiriki makini na wa kipekee wiki iliyopita
Yahya M
Kwanini huona kuwa hata kwa katiba yetu ya sasa watu wamekwamuliwa chini ya ccm??
Mfumuko wa bei ulikuwepo tokea awamu ya kwanza
sio kila mtu anaona kama unavo ona wewe!
akili yako imekamatwa na haiko huru kwa hiyo kila kitu kwako ndani ya katiba ya sasa ni "vema"
Atleast TUMIA AKILI SIKU MOJA MOJA BASI
Kwani katiba ya sasa haitoshi?
Ingekuwa vizuri akaleta mjadala wa kuleta maendeleo Tanzania
Ccm wanasikiliza hiyo mijadala................naomba na yule mama aliyesema utumbo ahudhurie ili asikie watz wanataka nini na sio ccm na yeye wanataka nin kwa sababu kwanza wanaongoza kiharamu na hatukuwa na imani na ilani yao japo wamechakachua.............wanaleta udini tunataka katiba ambayo itasisitiza uhuru wa kuabudu na sio serikali kubeba uislamu............