Mjadala wa kina kwanini Yanga amefungwa mechi mbili mfululizo na kucheza chini ya kiwango

Mjadala wa kina kwanini Yanga amefungwa mechi mbili mfululizo na kucheza chini ya kiwango

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Yanga wanaonekana wana wachezaji wazuri lakini pia wana kocha mzuri.

Ni sababu zipi zimepelekea afungwe mechi mbili mfululizo.

Alifungwa na Azam goli 1 kwa 0 mechi ya tarehe 2 November 2024.

Leo tarehe 7 November 2024 tumeshuhudia Yanga anafungwa goli 3 kwa 0 zidi ya Tabora United. Hili jambo sio la kawaida ukilinganisha na kiwango cha Yanga.

Screenshot_20241107_211405_LinkedIn.jpg


Kama umeangalia mechi ndugu mwana utagundua kwamba wachezaji wengi wa Yanga wameshindwa kucheza mpira uwanjani.

Naomba tujadili kwa kina ni kipi kimewafanya Yanga wacheze mpira chini ya kiwango na kufungwa goli mfululizo.


Ukitaka kununua gesi ya kupikia wala usisumbuke pitia hapa uagize utaletewa hadi nyumbani kwako. Ni hapa: Campus City Shopping Mall - Online Shopping for Popular Electronics, Fashion, Home & Garden, Toys & Sports, Automobiles and More.
 
Yanga wanaonekana wana wachezaji wazuri lakini pia wana kocha mzuri.

Ni sababu zipi zimepelekea afungwe mechi mbili mfululizo.

Alifungwa na Azam gori 1 kwa 0 mechi ya tarehe 2 November 2024.

Leo tarehe 7 November 2024 tumeshuhudia Yanga anafungwa gori 3 kwa 0 zidi ya Tabora United. Hili jambo sio la kawaida ukilinganisha na kiwango cha Yanga.

Kama umeangalia mechi ndugu mwana utagundua kwamba wachezaji wengi wa Yanga wameshindwa kucheza mpira uwanjani.

Naomba tujadili kwa kina ni kipi kimewafanya Yanga wacheze mpira chini ya kiwango na kufungwa gori mfululizo.
*gori❌

Goli ✅
 
Back
Top Bottom