Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Yanga wanaonekana wana wachezaji wazuri lakini pia wana kocha mzuri.
Ni sababu zipi zimepelekea afungwe mechi mbili mfululizo.
Alifungwa na Azam goli 1 kwa 0 mechi ya tarehe 2 November 2024.
Leo tarehe 7 November 2024 tumeshuhudia Yanga anafungwa goli 3 kwa 0 zidi ya Tabora United. Hili jambo sio la kawaida ukilinganisha na kiwango cha Yanga.
Kama umeangalia mechi ndugu mwana utagundua kwamba wachezaji wengi wa Yanga wameshindwa kucheza mpira uwanjani.
Naomba tujadili kwa kina ni kipi kimewafanya Yanga wacheze mpira chini ya kiwango na kufungwa goli mfululizo.
Ukitaka kununua gesi ya kupikia wala usisumbuke pitia hapa uagize utaletewa hadi nyumbani kwako. Ni hapa: Campus City Shopping Mall - Online Shopping for Popular Electronics, Fashion, Home & Garden, Toys & Sports, Automobiles and More.
Ni sababu zipi zimepelekea afungwe mechi mbili mfululizo.
Alifungwa na Azam goli 1 kwa 0 mechi ya tarehe 2 November 2024.
Leo tarehe 7 November 2024 tumeshuhudia Yanga anafungwa goli 3 kwa 0 zidi ya Tabora United. Hili jambo sio la kawaida ukilinganisha na kiwango cha Yanga.
Kama umeangalia mechi ndugu mwana utagundua kwamba wachezaji wengi wa Yanga wameshindwa kucheza mpira uwanjani.
Naomba tujadili kwa kina ni kipi kimewafanya Yanga wacheze mpira chini ya kiwango na kufungwa goli mfululizo.
Ukitaka kununua gesi ya kupikia wala usisumbuke pitia hapa uagize utaletewa hadi nyumbani kwako. Ni hapa: Campus City Shopping Mall - Online Shopping for Popular Electronics, Fashion, Home & Garden, Toys & Sports, Automobiles and More.