Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Mpira Ni biashara Kama hauna D mbili huwezi kuelewa. Bilion 25 sio bure bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga wacheze mpira chini ya kiwango na kufungwa gori mfululizo. 😂Hapana mahali nilipo andika gori
Yaan,Leo hakulaliki ...
Kinajunior hawajazoea huzuni
🤣🤣🤣🤣🤭Wamefungwa tena😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Utakua na shida ya machoYanga wacheze mpira chini ya kiwango na kufungwa gori mfululizo. 😂
Wewe ni utopolo OG na huna akili kama alivyosema Haji ManaraHapana mahali nilipo andika gori
Unaonekana umejichanganya hapa hatupo kuleta utani. Umeona post yangu imeandikwa gori?Wewe ni utopolo OG na huna akili kama alivyosema Haji ManaraView attachment 3146570
Ogopa Mungu na Teknolojia, JF ukipost afu mtu akaquote yale makosa yatabaki daima hata ukiedit kazi bureUnaonekana umejichanganya hapa hatupo kuleta utani. Umeona post yangu imeandikwa gori?
Hiyo umetengeneza mwenyewe post yangu haipo hivyo.Ogopa Mungu na Teknolojia, JF ukipost afu mtu akaquote yale makosa yatabaki daima hata ukiedit kazi bureView attachment 3146580
Huna ulijualo🚮🚮Hiyo umetengeneza mwenyewe post yangu haipo hivyo.
Mo kanunua game, wachezaji wa yanga wanashindia mihogo na njegere, hii imerahisisha kazi ya MoYanga wanaonekana wana wachezaji wazuri lakini pia wana kocha mzuri.
Ni sababu zipi zimepelekea afungwe mechi mbili mfululizo.
Alifungwa na Azam goli 1 kwa 0 mechi ya tarehe 2 November 2024.
Leo tarehe 7 November 2024 tumeshuhudia Yanga anafungwa goli 3 kwa 0 zidi ya Tabora United. Hili jambo sio la kawaida ukilinganisha na kiwango cha Yanga.
View attachment 3146449
Kama umeangalia mechi ndugu mwana utagundua kwamba wachezaji wengi wa Yanga wameshindwa kucheza mpira uwanjani.
Naomba tujadili kwa kina ni kipi kimewafanya Yanga wacheze mpira chini ya kiwango na kufungwa goli mfululizo.
Ukitaka kununua gesi ya kupikia wala usisumbuke pitia hapa uagize utaletewa hadi nyumbani kwako. Ni hapa: Campus City Shopping Mall - Online Shopping for Popular Electronics, Fashion, Home & Garden, Toys & Sports, Automobiles and More.
Baada ya watu kufatilia kwa kina maamzi yanayofanywa na waamzi ktk game zenu wanayangaMpira Ni biashara Kama hauna D mbili huwezi kuelewa. Bilion 25 sio bure bure
Hiyo ndio dawa yenu wapenda kukosoa vitu vidogovidogo badala ya kuchangia mada umejikita kukosoa.Huna ulijualo🚮🚮